E-Fm yaendelea Kuitesa Clouds Fm Dar

You're right, lakini nilisharekebisha/malizia
Oky ni kwamba huwa zinachukuliwa za wiki nzima zinagawanywa ndio unapata hiyo rate niliyopost mwanzo kabisa hii ya jana niya siku moja tu so hadi wikii hii iishe wagawanye ndio upate rate ya wiki nzima kama ya mwanzo so j3 unaweza pata laki 8 jumanne laki 2 nk inategemea na usikilizwaji wa siku husika then wanapiga mahesabu unapata weekly
 
Hii nakubali, clouds inasikilizwa sana Efm madereva wa bodoboda ndio wengi, clouds haina mpinza Afrika mashariki
 
Hongera EFM. Tunataka ushindani namna hii katika media sio mmoja tu anakuwa dominant matokeo yake anaota kiburi, nadhani hili ni somo kwa Ruge and Co. kwamba soko huwa linaamua sio kila siku ni Jumatatu.
 
Usitoe povu Ndugu weka source tuchek sio unascreenshoot makaratasi ya Matangazo kwenye notes board
Ruge kakutuma niniii? Hiloooo hizo niluzoweka hujaziona ovyo
 
hivi kweli hii Efm watafikaga mikoani kwetu kweli kama mwanza vile au Arusha au wanaweza mbania vibali au mambo ya pesa hayako vema sana kwa kusambaza mikoani naomba kujuzwa hili wakuu
Radio mpya kupewa coverage nchi nzima ni mchakato wa kisheria pale TCRA, huku pia ikifanyiwa tathimini ya maendeleo yake kabla haijaruhusiwa. Ila kwa mwendokasi wa MAJIZZO, soon wataachieve hili! Hakuna kipingamizi.
 
Hahahahahah pole sana mkuu nakumbuka kuna siku tulibishana sana nikaamua kukuacha leo umeona ukweli.. Mimi hii ishu nulipenyezwwa na mimi mchizi yupo tcra efm wanakimbiza haswa.. Vipi lakini ile nyingine wameipiga ban nini naona umeibuka kivingine.
 
Hii nakubali, clouds inasikilizwa sana Efm madereva wa bodoboda ndio wengi, clouds haina mpinza Afrika mashariki
wewe acha zako kwa sisi tulio Dar ni EFM kuanzia saab12 asubuhi mpaka .........na kila ninapopita ni hivyo
 
hivi kweli hii Efm watafikaga mikoani kwetu kweli kama mwanza vile au Arusha au wanaweza mbania vibali au mambo ya pesa hayako vema sana kwa kusambaza mikoani naomba kujuzwa hili wakuu
Sheria inasema wazi kuwa unatakiwa usambae ulipo kwa miaka mitatu ndio unaweza kupewa kibali cha kwenda nje ya mkoa! mwaka huu ndio wana timiza miaka mitatu tangu waanze.
 
Halafu hao wanao ambiwa kuwa data zao ni fake ndio wamekuwa wakitoa data kila siku zinazo wabeba Clouds sasa sijui ufake ni kwakuwa Clouds wameshushwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…