Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
Hiyo inatosha kuwaambia EFM kwamba Singeli imetuchosha, hatuisikilizi maana nyimbo ni zile zile halafu mwandaaji wa kipindi anapayuka payuka ovyo.
Wakifanye kiwe kipindi cha nusu saa tu.
MajizzoKwani Efm inamilikiwa na nani????
Ile ndio style ya utangazaji kwa muziki ule sasaHiyo inatosha kuwaambia EFM kwamba Singeli imetuchosha, hatuisikilizi maana nyimbo ni zile zile halafu mwandaaji wa kipindi anapayuka payuka ovyo.
Wakifanye kiwe kipindi cha nusu saa tu.
Ndio maana nilimuunga mkono Sooth manake nami shaka yangu ilikuwa hapo kwa TBC!Tbc taifa ya pili .......fix
hivi kweli hii Efm watafikaga mikoani kwetu kweli kama mwanza vile au Arusha au wanaweza mbania vibali au mambo ya pesa hayako vema sana kwa kusambaza mikoani naomba kujuzwa hili wakuu
Ni kweli, ukisalimika kwenye data validity utakuta unakumbana na host interest!Tatizo letu ni kwamba hata kama ukusanyaji taarifa haukuwa biased, taasisi inayokusanya inakuwa biased-yaani wanakuwa na interest zao. Wanataka advertisers wajue nani mkali. Kwahiyo hata kama mbinu za ukusanyaji ziko objective, data, analysis na interpretation zinaweza kuwa biased/played ili kupendelea chombo fulani
Ni miaka 3 mkuuRadio yoyote kabla ya kuvuka mipaka ya home town huwa inapewa muda wa kujiimarisha kwanza, sikumbuki ni miaka mingapi, huo muda ukishatimia, hupewa ruhusa ya kujitanua mikoani.
Hivyo watu wa Mikoani wakae mkao wa kula. Kama wameweza kuiteka Dar, lazima na huko Mikoani itakuwa n tishio vile vile.
Meneja wao wa vipindi atakuwa yuko makini ndio maana, kwa sasa EFM ni tishio kwa Radio zilizokuwa na Majina hapo awali, hata watangazaji wengi wenye vipaji na Majina makubwa wanakimbilia huko EFM kwa sasa.
Ile ndio style ya utangazaji kwa muziki ule sasa
Sport xtra ndo inayoongoza hapo kuanzia mida ya saa 3So kipindi kinachowabeba Cloudz ni XXL tu hapo
Kibaraka clouds fm.Tofauti ya wazi ni kwamba data zangu ni from reliable source na zinajieleza zenyewe! Kwa mfano, nyie mnafanya assumption kwamba ni data za Dar es salaam peke yake kv wameandika weekly (Dar es salaam)!! Na ndio maana kuondoa hiyo misunderstanding nikaomba source ya hizo data lakini hakuna aliyetoa zaidi ya kusema nimekurupuka! Na ndio maana nimeuliza, hapo kwenye EFM tukiweka radio nyingine yoyote utazikataa hizo takwimu?! Yaani hapa tunashindanisha DATA frm CREDIBLE na Data From UNKNOWN source!
Kuhusu swali, kwa mtazamo wangu ni ipi inasikilizwa sana Dar... Jibu ni Clouds! EFM inasikilizwa sana kwenye mitandao ya kijamii-- yaani kuna siasa nyingi ndani yake! Na hizi siasa zilianza kabla EFM hawajaenda hewani pale uvumi ulipokuwa umeenea kwamba EFM ni radio ya Jide! Na watu wakaanza kuwa mashabiki wa EFM kabla hata hawajaisikia kv tu walikuwa hawaipendi Clouds!!
mkuu jamaa kajipa cheo gani?Nenda insta ya majizzo uone cheo alichojipa ndio utajua jamaa si mtu wa mchezomchezo...soon tv inakuja na mikoani lazima afike
Unafaa kupuuzwa!Kibaraka clouds fm.
Hujamakizia mkuu nashindwa kukujibuvantz, kiukweli hizo data ulizoweka hivi punde naona zinanichanganya au labda zitolee maelezo kidogo.
Hapo juu, ni takwimu za wiki mzima; tena wiki ambayo watu hawajaenda kazini kwa cku 2 lakini audience number ni few hundred thousands!
Takwimu mpya ni za cku moja lakin audience yake ni kubwa maradufu ya ile ya wiki mzima!
You're right, lakini nilisharekebisha/maliziaHujamakizia mkuu nashindwa kukujibu
Sijawahi ona rates za matangazo ya radio lakini za TV, hususani ITV ni kufuru!Hivi kati ya radio station na tv ni kipi unaingiza hela nyingi? www.efm.co.tz
SHida iko moja tu kwa EFM... Wapigane wahame frequency... waende kwenye frequency less than 90MHz maana wasikilizaji wa kwenye magari yaliyo mengi wana redio zenye frequency less than 90MHz.Hii ni hatari kwa Cloudz, mwanzoni nilikuwa naichukulia poa EFM. Wakianza kuja mikoani Cloudz ndio watapata pigo kubwa zaidi