Utapata ugonjwa wa moyo wewe!Kinachonishangaza ni huyu mtangazaji Maulidi Kitenge eti akiwa nje ya nchi anatujuza kilichomo kwenye magazeti na kwa mbwembwe nchi alipo kisha watangazaji waliopo Dar huendelea na kutujuza kilichomo kwenye magazeti hayo hayo.
Ile ni segment yake,na wanatonesha jinsi gani teknolojia inafanya kazi yao iwe nyepesi