Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Bouncing around ... Victoria and David on blue ball
Name game ... couple discuss their options
kalabagaho..nani kakudanganya?Nyie mnahangaika na Beckham wakati yeye hata hana habari kama kuna nchi inaitwa Tanzania. Miafrika bwana
this photo is ugly!!!
Bouncing around ... Victoria and David on blue ball
aisee.... mkuu leo umekula mjusi nini?Nyie mnahangaika na Beckham wakati yeye hata hana habari kama kuna nchi inaitwa Tanzania. Miafrika bwana
praaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhh!!!!!!!
teh teh teh!umenikumbusha thread ya juzi....juu ya huo mlio wa praaaaaaaaaaaaaahhh
Hivi hakuwahi kuja kupanda Kilimanjaro alipoalikwa na Bono wakati wa changizo gani sijui ile!. Atakuwa anaijua bana, atajuaje Kilimanjaro asiijue TZ?Nyie mnahangaika na Beckham wakati yeye hata hana habari kama kuna nchi inaitwa Tanzania. Miafrika bwana
Victoria alikuwa anapendeza sana zamani,sasa anaonekana kama ana kwashakoo
kweli..ahh sasa chek vpaja...dah vnatia kinyaa yan kitumbo km kapachikwa vle....
mtu akonde kdg lakin uskin u ahhh mi apana apana....mvuto unapotea jaman....ebu chek tena vpaja vyake...