DV Lottery (green card) 2012

mkuu thanks sana, sasa nataka kutuma hii form je naweza kutumia posta yetu ya kawaida, je on average posta za kawaida hutumia muda gani kufikisha barua U.S, DHL naona ni ghali mno...je nikitumia posta sitapoteza muda sana?

Posta ya kawaida tu wiki inakuwa ishafika mkuu huna haja ya kuingia gharama kubwa mapema hivi wkt kazi ipo mbele!
 

Kuna watu wawili pale Vodacom Dar wameshinda Greencard ya intake hiyohiyo unayoulizia. Fika ofisi za Voda headquarters ulizia suala hilo na omba kuonana na hao walioshinda kwani pale wanajulikana watakuelekeza nini cha kufanya.
 
vipi ulifanikiwa kushinda dv lottery?
 
Boss, wacha uongo zako mingi mingi mingi, hakuna makachero watakao tumwa kijijini kwa uchungizi, hakuna FBI watachunguza mienendo yako ukishinda green card, so, wacha kuweka watu uoga bure
 

Walijua vipi ulikua umeshiriki?
 
Boss, wacha uongo zako mingi mingi mingi, hakuna makachero watakao tumwa kijijini kwa uchungizi, hakuna FBI watachunguza mienendo yako ukishinda green card, so, wacha kuweka watu uoga bure
Wajinga ndio waliwao...
Kila kitu Sasa ni digital. Wakutapeliwa na atapeliwe. Lakini Hilo halikua swala haswa, swala ni kuhusu makachero kufuata hadithi na mienendo ya mshiriki
 
Tumia hekma unapojibishana na watoto wa Rika langu, greencard ya kuenda marekani ni kuanzia October 5th Hadi November 7th. Hio ya miezi mbili ni Ile marekani umejitengenezea mwenyewe Kijiji kwenyu kigoma πŸ€£πŸ˜‚
 

Kumbe kuzeeka sio kua na hekima?

Kumbe Kuna waliobaki analogue, washamba na bado hawana habari.

Eti uko marekani?

New Orleans ama little Haiti?

Wewe upo pepo ya magurubasi.

πŸ˜‚πŸ€£
 
Kwani wewe umri wake unaujua ?

Mbona unabwabwaja maneno hovyo kama Katibu mwenezi wa ccm.
 
Tumia hekma unapojibishana na watoto wa Rika langu, greencard ya kuenda marekani ni kuanzia October 5th Hadi November 7th. Hio ya miezi mbili ni Ile marekani umejitengenezea mwenyewe Kijiji kwenyu kigoma πŸ€£πŸ˜‚

Ok samahani! Nakuwa muungwana basi kijana! Nilicheza DV lottery mwaka 2008 na by that time ilikuwa entries zinafanywa miezi miwili, walikuja kupunguza baadaye. Nilicheza mara 1 tu na nikachaguliwa nikaja na familia mwaka 2009. So hiyo ya mwezi mmoja ilikuja kuanza nafikiri 2010 au 2011, sina uhakika
 
Kumbe kuzeeka sio kua na hekima?

Kumbe Kuna waliobaki analogue, washamba na bado hawana habari.

Eti uko marekani?

New Orleans ama little Haiti?

Wewe upo pepo ya magurubasi.

πŸ˜‚πŸ€£

No! Japo New Orleans ni US pia ila sipo huko! Nipo Denver Colorado, nimeishi State 2 tu miaka yote hiyo, Joliet City IL, na Denver CO kuepuka kuhamahama sana wkt nimekuja na familia na watoto wanasoma. Natengeneza pesa nzuri tu ya kuishi na kufanya investments zangu home, sijawahi kujututia kuja hapa, na familia yangu yote ilishapata citizenship mimi tu sijachukua kwa sababu sitaki sheria za Tz hazieleweki na nina mali huko. Nikitaka nachukua muda wowote, but green card bado inakidhi mahitaji yangu kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…