Duuuh, kweli wanawake wengine!




Hata kachai umezidishia sukari.
 
Fanya maamuzi ya busara kaka, usijaribu kulala nae hata kidogo.
mwachie chumba tafuta sehemu nyingine ya kulala.
 
Fanya kitendo ambacho kitamfanya rafiki yako awe proud na wewe wanawake wapo tunza heshima ya rafiki yako fanya maamuzi magumu ili hata siku za mbeleni ujiproud mwenyewe kwa maamuzi ya msingi na busara. Mwokoe rafiki yako
HEMBU FAFANUA ZAIDI NAHISI KAMA HUJAELEWEKA VILE
 
Umenichekesha kweli
Huyo mtu toka unawasiliana naye anaonekana tu anataka dyudyu..Sasa we sijui ambacho haukukielewa ni kipi mpaka ukamkaribisha..Au ulikuwa unataka ushahidi???....We Dada kaa hapohapo usiondoke bila kupewa Dushe
 
Acha story iendelee lakini ukweli unaujua wewe binafsi naamini ushakula otherwise utakuwa bonge la lo.fa
Jamaa angu umesoma post yangu mpaka mwisho?including the finalizing one?hakika nkisoma comments za baadhi ya watu humu ndani,nagundua wengi wangekuwa tayari wamenaswa,halafu wakati mimi naona ni ushujaa kutofanya ngono hivyo,wewe unasema ni ulofa?hivi ulofa ni upi,kujifanyia ngono hovyo hovyo au kujizuia kufanya hovyo hovyo!!!?
 
Ulofa ni kucheza na hisia za watu kama ulishindwa kumzuia kuja moro sasa ulifikiri anakuja kupiga picha na wewe???. Ningekuona shujaa kama ungempigia boyfriend wake right after noticing evil plans
 
No love at all but just lies hao wanawake wana mapepo kabxa yan wewe cha mxingi jipigie show ulinde heshima yako ndo mpango
 
Vipi sir-mimi!mbona damn???

Hatari kaka...nimejaribu kufikiria kama ungekuwa kichwa panzi ukafuata baadhi ya shauri ulizopewa humu ukamsasambua kweli saizi ungekuwa ktk hali gani,mshukuru Mungu mkuu amekupa akili na hikma ya kujitafakarisha.
 
Mrejesho. Katoa huo

Hatari mkuu jamaa ana nyota ya #kakakuona ,huu mrejesho wake umenistua sana...pata picha angejifanya kidume cha mbegu akamkunja huyo mdada ingekuwaje.
 
Hatari kaka...nimejaribu kufikiria kama ungekuwa kichwa panzi ukafuata baadhi ya shauri ulizopewa humu ukamsasambua kweli saizi ungekuwa ktk hali gani,mshukuru Mungu mkuu amekupa akili na hikma ya kujitafakarisha.
Kiukweli,imenibidi nikatoe sadaka ya pekee kanisani,maana nashindwa kuamini kilichotokea.
Kwa sasa naumiza kichwa juu ya rafiki yangu,yatakuwa salama kweli?naanzaje kumwambia???ni kitendawili kigumu sana kinachonikabili kwa sasa!!!
 
HEMBU FAFANUA ZAIDI NAHISI KAMA HUJAELEWEKA VILE
Kwa kuthamini urafiki na uhusiano bora alio nao mtoa mada na jamaa, kwakutokubali kufanya zinaa na huyo dada pili kumuonesha dada kuwa anavalue zaidi uhusiano bora alionao na jamaa yake wanawake wapowengi wanaoweza kutimiliza mahitaji ya mwili wake incase akizdiiwa lakini sio huyo shemeji .Maamuzi haya yanaweza kumfanya baada ya kitambo kupita awe proud mwenyewe kwa kujiona mwanaume bora aliyeishinda zinaa kwa kuweka urafiki mbele na kuukana usaliti.
Awokoe rafiki yake kwa maana ya kuwa inawezekana jamaa ndio kajiwekezea hapo anaona huyo ndiyo mke wa kuweka ndani lakini kama ameweza kujirahisi hivyo kwa mtoa mada je kwa wengine ?Sio mwanamke mzuri
 
Hoja ni nzuri lakini tayari leo ni siku ya nne tangu aombe ushauri. Najiuliza je ushauri wangu wa leo utafanya kazi?

Nimechelewa kuuona huu uzi, hata hivyo, kwa faida ya wajao ni kwamba uzinzi huleta chuki na umaskini. Unadhani nani anafurahi kuona dada, mtoto, mama au mpenzi wake anaziniwa?

Muache huyo shem, mkimbie maana ni adui mbaya haswa.
 
Nashukuru kwa ushauri mzuri,japo kiukweli nkikumbuka mwili mzima unasisimka!!!
 
Hadithi njoo uwongo...njoo utam koleaaa,

Kuna sehemu naweza kukukamatia na kudhihirisha kuwa umetunga hii story.......btw heri ya mwaka mpya broh.
 
Last edited:
Duh huo mtihani mkubwa kuliko mtihani wa shule. Ama ukipasi mtihani huo basi wewe kweli rafiki wa kweli. Manake rafiki zangu nakumbuka tulikuwa kila mtu anataka kumtafuna demu wa mwenziwe mpaka kuna siku tukataka kuzichapa. Ndio ukawa mwisho tukaanza kuwekeana mipaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…