gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,941
- 2,251
Duu,
ama kweli sikio la kufa halisikii dawa, yaani anawaogopa watendaji wenzake kuwawajibisha kabisa
ona sasa tutaanza kufa sasa hivi coz yako, madaktari walikwambia wawajibishe viongozi wakuu wa
wizara umewaonea aibu, sasa sijui tufanyenini.
mbona Pinda alimwajibisha nyoni, yeye sijui kwanini anawaonea aibu hao wngine, ili uonekane mwema
sanaa,
duu amakweli nimeanza kumkumbuka lowasa ambaye pamoja na kwamba ni fisadi lakini alikuwa muwajibikaji
ipasavyo, so ni bora angekuwa yeye rais kuliko huyu JK
ama kweli sikio la kufa halisikii dawa, yaani anawaogopa watendaji wenzake kuwawajibisha kabisa
ona sasa tutaanza kufa sasa hivi coz yako, madaktari walikwambia wawajibishe viongozi wakuu wa
wizara umewaonea aibu, sasa sijui tufanyenini.
mbona Pinda alimwajibisha nyoni, yeye sijui kwanini anawaonea aibu hao wngine, ili uonekane mwema
sanaa,
duu amakweli nimeanza kumkumbuka lowasa ambaye pamoja na kwamba ni fisadi lakini alikuwa muwajibikaji
ipasavyo, so ni bora angekuwa yeye rais kuliko huyu JK