Duuu..! Bora Lowasa angekuwa president kuliko JK

gango2

JF-Expert Member
Aug 31, 2011
1,941
2,251
Duu,

ama kweli sikio la kufa halisikii dawa, yaani anawaogopa watendaji wenzake kuwawajibisha kabisa
ona sasa tutaanza kufa sasa hivi coz yako, madaktari walikwambia wawajibishe viongozi wakuu wa
wizara umewaonea aibu, sasa sijui tufanyenini.

mbona Pinda alimwajibisha nyoni, yeye sijui kwanini anawaonea aibu hao wngine, ili uonekane mwema
sanaa,

duu amakweli nimeanza kumkumbuka lowasa ambaye pamoja na kwamba ni fisadi lakini alikuwa muwajibikaji
ipasavyo, so ni bora angekuwa yeye rais kuliko huyu JK
 
Duu,

ama kweli sikio la kufa halisikii dawa, yaani anawaogopa watendaji wenzake kuwawajibisha kabisa
ona sasa tutaanza kufa sasa hivi coz yako, madaktari walikwambia wawajibishe viongozi wakuu wa
wizara umewaonea aibu, sasa sijui tufanyenini.

mbona Pinda alimwajibisha nyoni, yeye sijui kwanini anawaonea aibu hao wngine, ili uonekane mwema
sanaa,

duu amakweli nimeanza kumkumbuka lowasa ambaye pamoja na kwamba ni fisadi lakini alikuwa muwajibikaji
ipasavyo, so ni bora angekuwa yeye rais kuliko huyu JK

Sikio la kufa litasikia kwa MUNGU!
 
Watanzania tuombe Mungu ili Rais afe kwa kweli,na viongoz wote washirikina kama yeye wafe.
 
ni heri j.k *100 kuliko lowassa, mana j.k kaonyesha waziwazi kuwa ni mbwamwitu kuliko E.l ambaye ni ni jibwakoko lililovaa ngozi ya kondoo, sa hivi linajidai kuinamisha bichwa kula majani wakati linausongo na nyama ole wenu mlikabidhi bucha muone kama mtaambulia hata mifupa.
 


mbona Pinda alimwajibisha nyoni, yeye sijui kwanini anawaonea aibu hao wngine, ili uonekane mwema
sanaa,

duu amakweli nimeanza kumkumbuka lowasa ambaye pamoja na kwamba ni fisadi lakini alikuwa muwajibikaji
ipasavyo, so ni bora angekuwa yeye rais kuliko huyu JK


EL simply sucks!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom