"Mag3, post: 29652471, member: 10873"]ukuta nao karibu unaisha ukiwa umelipiwa na Mexico!
Mkuu hili la ukuta linafurahisha sana. Kila anapoulizwa kwanini anadai pesa wakati alisema Mexico watalipa, jibu limekuwa 'wanalipia kupitia mkataba wa USMCA au NAFTA.
Hakuna pesa yoyote inayoonekana katika ''coffer'.
Chuck-Pelosi walipokwenda WH alijikuta anajitia 'kitanzi' cha 'government shut down'
Ukuta anaosema ulikuwepo kuanzia Bush na Obama ingawa anaaminisha wafuasi wake anajenga na unapanda
Ujanja huo ndio ameutumia kwa Obamacare. Baada ya kushindwa katika congress, sasa anategemea hukumu ya mahakama. Kitu wengi hawaelewi ni kuwa mahakama ya Texas imetoa hukumu na siyo supreme court
Itachukua muda mrefu na wala haina gurantee kwamba SC ita favor maamuzi ya awali
Kama itatoea SC wakaamua, hiyo si repeal and replace aliyosema.
Kuna mambo mawili ya kuangalia ktk hali hiyo
1. Lazima Dems watashiriki kuandika kwani ndio wenye house.
Pelosi ni pioneer of Obamacare, sijui kama atakubali anything less than the same.
Hata Trump anaelewa hilo na ni moja ya consequence za midterm elections
2. Midterm elections iliyoondoa 40 GOP na kuna moja 'itarudiwa' ilikuwa na madhara kwa Trump
Issue kubwa iliosababisha Republicans upoteza ni Health Care
Iliwalazimu hata House rep wa GOP wabadili msimamo na kusema watalinda 'pre existing conditions'
Kwa mtazamo huo, uamuzi wa SC utakuwa na athari kwa Republicans kuliko Dems
Obamacare ilipoanza ilionekana kitu kibaya, kwasasa ni 'hot cake' licha ya kuhujumiwa
Kwa maneno mengine SC ikifuta Obamacare, millions watatupwa nje ya Healthcare, hiyo itakuwa catalyst katika uchaguzi mkuu. GOP watakuwa na wakati mgumu sana kueleza ni kwanini
Hivyo uamuzi wa Jaji wa si mzuri kwa GOP , ni mzuri kwa Dems kwasababu unawalinda na lawama
Kwa upande mwingine, kuna article moja nadhani NY times ikionyesha organization zote zilizowahi kusimamiwa na Trump zinachunguzwa. Kuanzia Trump Organization, University, Campaign, Transition na sasa Admin
Kwa nyaraka za leo zilizotolewa, Flynn na Cohen wanamweka mahali pagumu sana
Rud Gulian sasa amebadili msimamo kutoka 'hakuna collusion, kwenda collusion si crime
Trump kabanwa kutoka kila kona si Russia pekee, huko kwa makahaba na organization zake
Kuna kufuatiliwa kwanini ni mnenyekevu sana kwa Putin na MBS! Hapo wenyewe wanasema 'follow the money'
Hofu yake ni kwa wanawe, kama si Kushner , ni Don au Ivanka. Ana hofu mmoja wao atadakwa