Duru-Ulaya: Kura ya maoni 'Brexit'

BREXIT
UK IMEONDA EU KIANA.

Kama ilivyotarajiwa baada ya uchaguzi uliowapa conservative majority ilikuwa ni wazi Waziri mkuu Boris Johnson alipewa mandate ya kutekeleza sera zake za kuiondoa UK

Leo Jan 31 UK imeondoka EU. Hata hivyo kuondoka kwake si moja kwa moja, UK imepewa hadi December 31 2020 kukamilisha hatua za kuondoka. Majadiliano yataanza March 1 2020

Kwanini UK hawakuondoka jumla? Jibu kubwa lipo katika mambo ya kiuchumi na kijamii
Kwasasa kuna fukuto kubwa kutoka kwa washirika wanaounda UK
Scotland waliokataa kujitoa wanataka kura nyingine ya kuondoka UK

Hili la Scotland na Ireland tulilieleza kama donda ndugu linalosubiri tu sababu.

Majadiliano ya UK na EU yanalenga kuhakikisha kuwa ''washirika'' wa UK hawataathirika na kujiondoa kwa UK kwa kile wanachosema '' to accommodate'' mahitaji yao.

Huu ni mchezo wa kisiasa kwani kujiondoa kwa UK ghafla kungezusha taharuki miongoni mwa washirika na kupelekea '' kugawanyika kwa UK'' .
Kilichofanyika ni kuchukua muda wa kusoma ni eneo gani la mashauri linalohitajika.

Kujitoa kwa UK ni kwa alama tu?
UK haitakuwa na uwakilishi ndani ya EU lakini itaendelea kulipa bill zake na kuendelea kuwa mshirika bila kuathiri mambo kama ya uhamiaji, kuhamisha mitaji n.k.

Kuna hisia mchanganyiko ndani ya UK, baadhi wakifurahi na baadhi wakichukizwa na hilo.
Hata hivyo wahafidhina wanaoungwa mkono na kasri la Buckingham kwao ni kicheko

Tusemezane
 
Azma ya Malkia kurejesha nguvu zake za kiutawala zinaelekea kutimia kikamilifu itakapofika December 2020. Hata hivyo nina wasiwasi baada ya malkia kuchukua nguvu zake alizokuwa amewakabidhi EU nguvu zake hizo hizo zinaweza kupokwa na US.
 
Kwa sasa, kuondoka kwa Uingereza toka EU (Brexit) ni De jure.

Tusubiri kuondoka kihalisia (De facto) kutakuwa kuondoka kweli au kutakuwa BINO (Brexit in Name Only.)
Mkuu de jure kwa maana ya madai inabidi tuangalie wameondokaje.
Kwanza, hawana uwakilishi Brussels.
Kwa maana hakuna mswada au sheria itakayotungwa , badilishwa n.k. kwa ushiriki wao.

Pili, hakuna maamuzi ya EU yatakayoathiri shughuli zao mbali na yale waliyokubaliana.
Tatu, wanaendelea kulipa ada na michango bila ushiriki na kwa makubaliano maalumu

Hoja namba tatu ni muhimu sana. UK ndio wameomba extension hadi December 31 ili kushughulikia mambo ya people and capital movements kwa ushirika na EU.

Kumbuka, EU waliridhia hata kama wangeondoka jumla jana, lakini UK wakaomba.

UK waliomba kwasababu maalum kabisa.
Kujiondoa EU kumeleta taharuki ndani ya Union na kutishia union Jack.
Hapa si European union ieleweke, ni UK

N.Ireland na Scotland walipiga kura ya kubaki EU kuliko maeneo mengine.

N.Ireland itaathirika sana kwa kujitoa EU na kuamsha hisia za kujitenga.
Tayari moto unawaka Scotland wakitaka kura ya kujitoa tena

Walichofanya akina Boris Johnson ni kupata muda wa kuwahakisha kujitoa kwao hakuleta dhahma katika union Jack.(bendera ya UK)

Lakini pia UK inataka kuwa na deal na US kama ilivyoahidiwa na Trump.

Hivyo, wanataka kuona deal hiyo itakuwaje wakijua kwamba hata kama wataondoka EU uchumi wao bado unategemea sana EU.

Boris alisema wanataka kukata na kuondoka. Baada ya kuangalia kwa undani, jambo hilo lingeiacha pound sterling hoi. Kwa kuanzia makampuni mengi yanaondoka UK kufuata soko.

Kwa mtazamo huo, UK imechukua hatua za kuondoka taratibu ili kukabiliana na dhoruba la kisiasa na kiuchumi.

Kwavile walisha ''trigger article 50 ya Lisbon treaty'' hiyo inatosha kuwa de facto
 
Mimi kwa hili la Brexit niko interested zaidi na athari kwa masoko ya fedha hasa kwa pair ya GBPUSD, hali hii ya sintofahamu mpaka sasa naona itapelekea pound kudondoka hadi kufikia low ya 1985 ambabo mpaka sasa ni takribani miaka 34 imepita (je soko litakumbuka hii historia?).Pound crash ya mwaka 1992 ,2008 na ile crash ya June 2016 wakati wa kura ya kujitoa EU yote naona iliashiria kuileta pound chini zaidi, ila mwisho wa siku naamini muafaka utapatikana utaopelekea uchumi uanze kuimarika tena kuanzia mwakani.
Nimegusia hili la masoko ya fedha baada ya kujaribu kuianalyse chart ya currency pair husika ya tangu mwaka 1971 mpaka sasa
Hali ya POUND ktk masoko ya fedha imekuwa tete, mpaka sasa GBPUSD imeonesha dalili ya kufikia ile extreme low ya 1985 baada ya kuvunja ile brexit support ya DEC 2016 na mwaka jana, bado nafuatilia kwa ukaribu hatma yake
 
Kwa sasa, kuondoka kwa Uingereza toka EU (Brexit) ni De jure.

Tusubiri kuondoka kihalisia (De facto) kutakuwa kuondoka kweli au kutakuwa BINO (Brexit in Name Only.)

Naomba kuelimishwa: Mpaka tunapoenda mitamboni leo Jumatatu tarehe 23 Novemba 2020: Uingereza iko ndani ya EU au iko nje?
 
Naomba kuelimishwa: Mpaka tunapoenda mitamboni leo Jumatatu tarehe 23 Novemba 2020: Uingereza iko ndani ya EU au iko nje?
Mkuu UK wanaondoka rasmi mwezi wa 12 mwaka huu. Mazungumzo yanaendelea baada ya kukubaliana mwamzoni mwa mwaka huu wao kung'atuka. Tangu wakubaliane mwaka jana December kuna muda wa mpito (one year) ambao ndio unaisha December 2020.

Mazungumzo ambayo yanaendelea ni kuleta seamless talaka inayolenga kukubaliana kwenye mfumo mpya i.e. watakuwa wanafanya trade kama Australian model au vinginevyo, hii inahusika zaidi na mambo kama uvuvi, biashara ya vyakula nk. Deadline ya mazungumzo ni December kama wakikubaliana UK itawalipa EU £40 billion kama divorce fee/bill. Kama wakishindwa kukubaliana UK hawatalipa £40 billion (Devorce fee/bill).

Boris Johnson (BJ) alikataa kulipa hiyo divorce fee/bill na EU wako mbogo kwa suala hilo ingawaje EU wamejiandaa vya kutosha kwa sababu hata financial sector wameshahamisha nje ya UK, ingawa LSE bado ina nguvu kubwa.

Please note BJ agenda yake tangu mwanzo ilikuwa kuiondoa UK kutoka kwenye makucha ya EU. Ikumbukwe kwamba BJ alikuwa Brussels makao makuu ya EU kwa miongo kadhaa kama mwandishi wa one of the British tabloid kwa miongo kadhaa hivyo inaifahamu na kujua the working of EU inside out na ndiye alifanya kampeni kubwa ya kuiondoa UK. UK wataondoka rasmi end of December 2020 without an agreement unless the Europeans backs down. UK wanachotaka ni kuondoka
without an agreement under BJ leadership.
 
Mkuu UK wanaondoka rasmi mwezi wa 12 mwaka huu. Mazungumzo yanaendelea baada ya kukubaliana mwamzoni mwa mwaka huu wao kung'atuka. Tangu wakubaliane mwaka jana December kuna muda wa mpito (one year) ambao ndio unaisha December 2020.

Mazungumzo ambayo yanaendelea ni kuleta seamless talaka inayolenga kukubaliana kwenye mfumo mpya i.e. watakuwa wanafanya trade kama Australian model au vinginevyo, hii inahusika zaidi na mambo kama uvuvi, biashara ya vyakula nk. Deadline ya mazungumzo ni December kama wakikubaliana UK itawalipa EU £40 billion kama divorce fee/bill. Kama wakishindwa kukubaliana UK hawatalipa £40 billion (Devorce fee/bill).

Boris Johnson (BJ) alikataa kulipa hiyo divorce fee/bill na EU wako mbogo kwa suala hilo ingawaje EU wamejiandaa vya kutosha kwa sababu hata financial sector wameshahamisha nje ya UK, ingawa LSE bado ina nguvu kubwa.

Please note BJ agenda yake tangu mwanzo ilikuwa kuiondoa UK kutoka kwenye makucha ya EU. Ikumbukwe kwamba BJ alikuwa Brussels makao makuu ya EU kwa miongo kadhaa kama mwandishi wa one of the British tabloid kwa miongo kadhaa hivyo inaifahamu na kujua the working of EU inside out na ndiye alifanya kampeni kubwa ya kuiondoa UK. UK wataondoka rasmi end of December 2020 without an agreement unless the Europeans backs down. UK wanachotaka ni kuondoka
without an agreement under BJ leadership.
Shukran mkuu. Wasije tu wakahamisha magoli.
 
Hali ya POUND ktk masoko ya fedha imekuwa tete, mpaka sasa GBPUSD imeonesha dalili ya kufikia ile extreme low ya 1985 baada ya kuvunja ile brexit support ya DEC 2016 na mwaka jana, bado nafuatilia kwa ukaribu hatma yake
Tatizo/urahisi wa mataifa makubwa ni kuamua wanataka pesa yao ifike kwenye value gani kutegemeana na malengo yao (ERM). Kumbuka UK wamemaliza kulipa deni la vita ya kwanza ya dunia less than six years ago. Hiyo ni advantage kubwa sana kwao.
 
BJ is very serious na ndiye amekuwa ana-wa frustrate EU kwa sababu hataki kulipa £40 billion.
Sijui kwa nini for some reasons I get tingling sensation kwamba hakuwi na Brexit. Zote hizi zinakuwa ni kama danganya-toto-jinga-kula-kande-mbichi. Kama hisia hizi ni za kweli, ifikapo Januari 01 2021 Britain itakuwa bado ndani ya EU.
 
Brexit news – live: Boris Johnson defeated again in Lords, as ‘no-deal to cost more than Covid’

The House of Lords has voted to force Boris Johnson’s government to seek the consent of the devolved administrations before ministers can exercise powers contained in No 10’s controversial Internal Market Bill.

1606215380813.png
© Provided by The Independent

It comes as Bank of England governor Andrew Bailey has said that a no-deal Brexit would cause even more long-term damage to the UK’s economy than the coronavirus pandemic. The influential figure told MPs a deal was in the “best interests of both sides”.

It follows an optimistic assessment of trade talks by Irish premier Micheál Martin, who revealed legal texts were now in play on all areas of the prospective trade deal. “I would be hopeful that by the end of this week we could see the outline of a deal,” said Mr Martin.

 
Sijui kwa nini for some reasons I get tingling sensation kwamba hakuwi na Brexit. Zote hizi zinakuwa ni kama danganya-toto-jinga-kula-kande-mbichi. Kama hisia hizi ni za kweli, ifikapo Januari 01 2021 Britain itakuwa bado ndani ya EU.
I don't think so, kwa sababu tayari karibu mwaka mzima sasa hawashughuliki na maswala mengi yanayohusu EU. Hata EU nationals wamepungua sana na kuleta mtikisiko wa property market. Shughuli nyingi ambazo EU walikuwa wanafanyia UK zimeondolewa na kuhamishiwa kwenye member countries. Kuondoka wanaondoka swala gumu ni wataondoka kwa shari au la! (With agreement or not).
 

Brexit border tests at Channel Tunnel cause long M20 lorry queues​

Luke Powell & Chiara Fiorillo 2 hrs ago

Brexit border tests at Channel Tunnel cause long M20 lorry queues (msn.com)

1606254550503.png
© PA French authorities were conduction tests ahead of Brexiy​

Long queues were formed on the M20 in Kent because of Brexit control tests at the Channel Tunnel.

Lorry drivers were left queuing while French authorities conducted tests for border checking procedures. It comes ahead of the end of the Brexit transition period, scheduled for December 31.

Highways England said it had closed the entry and exit slip roads at Junction 11 today due to the number of HGVs parked on the hard shoulder. It is understood the delays were caused by French authorities carrying out tests ahead of Brexit at the Eurotunnel terminal in Folkestone.

A spokesman for Getlink, which operates the Channel Tunnel, said: "The backlog (of traffic) built up this morning during tests conducted by the authorities in preparation for Brexit." The spokesman said in the afternoon that traffic was now flowing "smoothly" through the terminal and services were operating as normal.
1606254615587.png
© PA Freight lorries waiting to access the Eurotunnel terminal

It is understood that further intermittent border tests will be carried out before the Brexit transition period ends.
Photographs showed dozens of freight lorries queued along the M20.

Highways England tweeted: "M20 coastbound at J11 Westenhanger - the entry slip is now closed due to heavy congestion in the area due to delays at Eurotunnel.
1606254666589.png
© PA It is understood further checks will continue to be carried out before the end of the Brexit transition period

"Due to the heavy congestion with HGV's at this location, for safety reasons we have also closed the exit slip at J11 Westenhanger due to the amount of lorry's parking up along the hard shoulder all the way back to exit slip."

The Channel Tunnel connects Folkestone to Coquelles near Calais in France.

It comes as MPs supported curbs to post-Brexit powers relating to international legal agreements. And Chancellor Rishi Sunak said he was determined that the United Kingdom would remain a global leader for asset management after Brexit.

"We're beginning a new relationship with the EU," Sunak said in comments to a conference organised by The Investment Association, an industry group.

"And as we do so, we are determined that the UK will remain a global leader for asset management," he added.

Maandalizi ya Mwisho mwisho kuagana na EU.
 

''LONDON (Reuters) - Britain and the European Union can clinch a Brexit trade deal and the shape of one is clear, but London will not sign up to an accord at any cost, Britain's finance minister said on Thursday.​

With just five weeks left until the United Kingdom finally exits the EU's orbit, both sides are trying to reach a trade deal that would avoid a tumultuous finale to the five-year Brexit crisis.''​

Britain says Brexit trade deal can be reached, but not at any cost (msn.com)

 

UK presses ahead with breaking international law at crucial moment in Brexit trade talks (msn.com)

The government is to press ahead with new legislation to overwrite the Brexit deal signed by Boris Johnson earlier this year, throwing trade talks with the EU into a new crisis.​


With less than four weeks to go until a no-deal, Jacob Rees-Mogg confirmed that ministers will re-insert controversial clauses removed by the House of Lords from their Internal Market Bill. The House of Commons leader also announced the introduction of a new Taxation (Post Transition) Bill, which is expected to include other powers to overwrite parts of the withdrawal agreement.

Ministers have admitted that their plans break international law, and the EU has said such a move would be "curtains" for talks. The precise content of the taxation bill is not yet clear, however. Hopes were raised that negotiators could be coming close to an agreement in London on Wednesday night after a large order of pizza was seen arriving at the door of their location – a sign of working into the night.

But nothing has yet emerged from negotiations, and diplomats say there are divisions among EU member states about how to proceed. A group of harder-line leaders coalesced around Emmanuel Macron's France reportedly want chief negotiator Michel Barnier to hold out for more concessions from the UK and allow a no-deal to occur if necessary.

But others, such as Ireland – which has more skin in the game – have warned against such a strategy.

Irish Foreign Minister Simon Coveney told Ireland’s Newstalk Radio: “It’s the time to hold our nerve and trust [Barnier]. And I believe if we do that, there’s a good chance that we can get a deal across the line in the next few days. There will be no further extensions. There will be no extra time.” Mr Coveney argued that waiting until after a no-deal “would mean significant disruption, costs, stress, and blame games between Brussels and London".

"From an Irish perspective, we get caught in the cross-fires there," he said, adding that it would be "a very dangerous assumption" to suppose there would be a trade deal signed in 2021. Talks are understood to still be blocked on issues like governance, fisheries and fair competition. There were however reports of progress on the latter issue, which has dogged negotiations since the beginning of negotiations.

A previous deadline to get a deal sealed by mid-November is now long gone. Both sides had suggested that a text needed to be produced by this point in order to fully ratify it by the end of the year and avoid a no-deal - though it is no unheard of for free trade agreements to be introduced on a provisional basis.

The rising risk of no deal comes after the Commons Public Accounts Committee warned that the government simply had not done enough to prepare for the eventuality, with heavy disruption at channel ports extremely likely. The National Audit Office has also said the government’s approach to Brexit means there will be economic disruption at channel ports whether there is a deal or not. The government says it is preparing for all eventualities, but would like a deal.
1607214486481.png

Baada ya BJ na Ursula von der Leyen kufanya mazungumzo hali bado ni tete. .... ....

Britain and the EU in final push for a post-Brext trade deal (msn.com)
 

The Guardian view on Boris Johnson in Brussels: not to be trusted (msn.com)

Boris Johnson got where he is today by telling lies about Europe. He made stories up as a journalist. He told fibs on an industrial scale in the referendum campaign. Now he is telling whoppers as prime minister too. There was an “oven-ready” EU trade deal. Not true. The chances of no deal were “absolutely zero”. Same again. Britain was prepared for any outcome after 31 December. Utterly false. The prospect of EU tariffs on British goods was “totally and utterly absurd”. Another porkie.​


1607669666994.png
© Provided by The Guardian Photograph: Olivier Hoslet/AP
Photograph: Olivier Hoslet/AP European commission president, Ursula von der Leyen, welcoming Boris Johnson to a meeting at EU headquarters in Brussels
.

Mr Johnson was again having us on when he gave the impression that he was going to Brussels on Wednesday to get an EU withdrawal trade deal over the line. A good deal is there to be done, he told the Commons. But in the evening it was the very opposite. Mr Johnson arrived in Brussels to tell the EU that Britain was not ready to make a fisheries agreement, would never accept the European court of justice as the arbiter on future disputes, and could not agree to any form of agreement on trading standards that tied Britain’s hands to EU rules. The two sides now remain far apart, the Commons was told on Thursday.

A prime minister who wanted a deal to continue trading with this country’s largest market would not have said any of this. The fishing industry is not so large that its needs should prevent a wider agreement. There is no overriding reason of practice or principle why an arbitration system involving the ECJ cannot be devised. Most important of all, Britain ought to agree that some regulatory alignment with the single market to ensure a level playing field is overwhelmingly in its own economic interest.

The last of these is now the great stumbling block. Mr Johnson and his party affect a false naivety about it. They dress the issue up in terms of Britain’s supposedly inviolable sovereignty. By doing so, they refuse to accept that the enlightened sharing of sovereignty is involved in every trade deal that Britain or any other nation will ever strike and is fundamental to the working of international relations. And they play dumb when faced with the EU’s concerns about maintaining the single market and preventing Britain from setting itself up as a low regulation Singapore-on-Thames.

Mr Johnson pretends Britain wants no more than Canada or Australia would do. But Britain’s position in relation to the EU is radically different. Britain is on Europe’s doorstep. Our economy and commerce have been deeply integrated with the EU’s for 45 years. Neither of these is true of Canada or Australia. It is entirely right for the EU to make the granting of preferential trade access conditional on at least some form of continuing alignment on subsidies, tax, labour standards, competition rules and environmental safeguards.

Any other approach involves trusting Britain not to break its word. Why should the EU do that, especially in the wake of the UK’s internal market bill which, until this week, contained clauses that allow Britain to ignore international law and its own treaties? Proximity counts in trade. It would not be fair to allow UK companies to externalise their costs through lower regulation and then freely enter an EU market in which European businesses have to bear their true costs.

Moreover, why should a rules-based union like Europe trust Mr Johnson? Telling lies about Europe is one of the few consistent themes in his chaotic life and politics. It would be a foolish leap of faith to suppose he is going to change now. Politics and economics occasionally pull Mr Johnson in opposite directions on Europe. But in the end he mostly puts party politics ahead of the national economic interest. So it is again now. Because of him and his catastrophic cause of regaining some imaginary lost British greatness, this country now stands on the brink of rupture with Europe. There are only three weeks to go before it happens. It would be a desperate emergency for this country to face at the best of times. It is all the more tragic that it is happening when, amid the pandemic, it is so badly led and thus so ill-prepared to deal with it.

The end game is near, fish on the table is a matter of concern.
 



Boris Johnson has put Britain on course for a no-deal Brexit, claiming it is now “very likely”, as it emerged that Emmanuel Macron and Angela Merkel have flatly rejected his appeal for direct talks.​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom