BIG THINKER
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 699
- 1,516
Iko hivi vyote unavyoviona Duniani hakuna kitu kipo kwa bahati mbaya, kuanzia ugumu wa maisha hadi magonjwa asilimia kubwa vipo kimkakati kwa lugha nyepesi vimeoangwa.
Usihangaike sana na Dunia speed yako iko limit hakuna siku utakumbia zaidi ya speed iliyowekwa. Unasema big thinker nasema nini?
Iko hivi hata hiyo simu uliyonayo ina muda wa kuisha matumizi yake ili ununue nyingine, usifikiri hawana uwezo wa kutengeneza sim ya chuma ukanunua na kutumia Miaka yote, uwezo wanao ila wanafanya hivyo kwa lengo maalum.
Nataman nitoe formula inayotumiwa na hawa jamaa ila naona bado uwezo wako ni mdogo, tuombe Mungu siku moja nikupe Siri nzito za utafutaji ambazo hakuna kitabu utazikuta zimeandikwa.
Kuna kitu kinaitwa "The secret runner of human," hiyo hata goggle huikuti na aliyeandika mpaka Leo hajulikani. Humo utajifunza Siri nzito za dunia hii, utafunguka ubongo na kujifunza mengi.
Kwa leo naishia hapo.
Usihangaike sana na Dunia speed yako iko limit hakuna siku utakumbia zaidi ya speed iliyowekwa. Unasema big thinker nasema nini?
Iko hivi hata hiyo simu uliyonayo ina muda wa kuisha matumizi yake ili ununue nyingine, usifikiri hawana uwezo wa kutengeneza sim ya chuma ukanunua na kutumia Miaka yote, uwezo wanao ila wanafanya hivyo kwa lengo maalum.
Nataman nitoe formula inayotumiwa na hawa jamaa ila naona bado uwezo wako ni mdogo, tuombe Mungu siku moja nikupe Siri nzito za utafutaji ambazo hakuna kitabu utazikuta zimeandikwa.
Kuna kitu kinaitwa "The secret runner of human," hiyo hata goggle huikuti na aliyeandika mpaka Leo hajulikani. Humo utajifunza Siri nzito za dunia hii, utafunguka ubongo na kujifunza mengi.
Kwa leo naishia hapo.