Dunia yako chaguo lako...

Dunia yako chaguo lako...

Smarty

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2011
Posts
776
Reaction score
437
Karibu mbugani hotel.. Hii ndo menyu ya leo.. supu ya mamba 2500 ugali chui 3500 ndizi sokwe 4500 wali kiboko 5000 tembo choma 6000 wali simba 7000 supu ya fisi 3000 mishkaki nungunungu 2000 supu ngiri 3000 juice ya dodoki 500 nzi kuchoma 2500 chips swala 1500. Karibu sana,
 
ha ha ngiri lost 2000 snake bite 500 nayai ya bundi 600..
 
Karibu mbugani hotel.. Hii ndo menyu ya leo.. supu ya mamba 2500 ugali chui 3500 ndizi sokwe 4500 wali kiboko 5000 tembo choma 6000 wali simba 7000 supu ya fisi 3000 mishkaki nungunungu 2000 supu ngiri 3000 juice ya dodoki 500 nzi kuchoma 2500 chips swala 1500. Karibu sana,

Duh hotel ipo juu.misosi imeenda shule vp mkopo hamna mkuu
 
waiter, kuna mteja kule anahitaji mishkaki ya vyura na sambusa mende, kasema umfungie. . .oda ya haraka.
 
waiter, kuna mteja kule anahitaji mishkaki ya vyura na sambusa mende, kasema umfungie. . .oda ya haraka.

shaka ondoa anapelekewa sasa hivi..vipi mende anataka wa kienyeji au wa kizungu?
 
Du!..naomba mniletee kaugali na mchicha wa bangi uliochanganywa na kakokein kdogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom