Karibuni JF Mbugani hotel.

Karibuni JF Mbugani hotel.

dudupori

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2012
Posts
1,795
Reaction score
1,923
Menu yetu ya leo,,
Chips swala - 2000
Supu ya mamba - 5000
Wali simba - 7000
Snake bite - 1000
Ugali chui - 4000
Beef twiga - 3000
Mshikaki wa nungunungu - 800
Tembo choma - 4500
Mchemsho wa fisi - 3500
Ngiri roast -2500
Ndizi sokwe - 6000
Rost kenge - 3500
Mayai ya bundi - 500
Mayai ya kobe - 700
Juice ya dodoki - 400
Acha kujilamba, utapendelea msosi gani?
KARIBUNI SANA WAPENDWA
 
Nyama ya swala ya ukwee, ya twiga laini sana huchemshi more than 30 minutes ila ni chungu sana inahitaj viungo vingi kuondoa uchungu bt ni tamu aseee.....
 
Niletee ndizi chura nusu na juice ya upu.pu glasi sita
 
Nyama ya swala ya ukwee, ya twiga laini sana huchemshi more than 30 minutes ila ni chungu sana inahitaj viungo vingi kuondoa uchungu bt ni tamu aseee.....

Hujakutana na kitu cha mchemsho wa fisi wee, mbona utajiramba kwa sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom