Aishah2016
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,225
- 2,482
Hizo nyonyo kazipiga jeki mno


Ni Mungu yupi akupe mke Leo ili kesho umwache. Mungu hafanyi biashara za kihasara namna hiyo. Ukichukua umechukua mtajuana mbele hukoMungu wa Yakobo Mungu wa Isaka naomba unipe kama huyu nikae nae wiki mbili!!!
haters mtaanza kusema na Hii ni PhotoshopKwa mfano wewe amekuvutia nini??Achana kabisa na black girls... Wanavutia etiiii
Hahahah jamani watu wanavyosifia tamu utadhani ugali kwa dagaaTamu sana hizo makitu hasa ukizijulia

Hahahah ila vichengavichenga vinaliwa kwa sababu ya shida tu mkuuHaya bwana mkuu
Amini duniani watu ni kama mchele. Kuna mchele wenyewe kama huyo hapo juu na vichengavichenga vya mchele. Ila vyote tunavila.
