Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,622
- 10,247
Ila zelensky amesupprise wapambe wa Putin na Russia, hata Putin alipo mpaka sahivi haamin imekuaje ameshindwaNa katika kulia lia kwake ndiyo amepelekea mpaka wewe kuanzisha hii mada au umesahau content ya mada yenyewe,vinginevyo sasa hivi ungekuwa unaitukuza Russia kwa kuwa 'super power'![]()

