Maisha magumu ndio yanayozalisha watu wabunifuni na wanafalisafa. Maisha legelege na rahisi yanazaa watu legelege pia. maisha ya wazungu na Waasia yalikuwa magumu sana yaliyotawaliwa na baridi kali, utawala wa kibabe, dhuluma, njaa kali, masaa mengi ya kufanya kazi, ujira kidogo, n.k. Maisha ya aina hii yalisababisha wazungu, wachina, wakoroea, nk wawe na ujasiri wa kupambana na maisha yao ili waweze kusurvive. Hata hapa Tanzania ile mikoa yenye maisha magumu ya baridi, milima, ardhi kidogo, kama vile Kilimanjaro, Mbeya, Iringa, Makambako, nk maendeleo yao yana ahueni kulinganisha na maeneo yenye joto, ardhi kibao yenye mbolea, nk kama vile pwani, Dodoma, singida, nk