Dunia inazungukaje?

hiyo solar minimum ni sehemu au ni hali ambayo inapatwa na juaa tu hapo ilipo..?

kwa sababu kama ikiwa ni sehemu maana yke wanakubali kwamba jua linakwenda lina move.

kwa sababu jua kitu hakiwezi kufikia kitu kingine mpaka kimoja wapo kiwe kina move.

sasa kusema kwamba sun will reach " linareach vipi na limekaa hapo hapo

na kama ni hali tu kama ilivyo ugonjwa kwa binadamu basi ntasitisha swali langu hapo juu
 



Unaweza kuangalia picha halisi ndani ya google na print maneno "solar minimum" utaona picha zilizochukuliwa na telescope ya NASA 2014, Hi-c (telescope space craft, the high resolution corona imager).-- iliyorushwa kwenye sub-orbit (falaki mrejesho) na kulengeshwa kwenye sura ya jua katika mahali panapoitwa "sun spot", katika sehemu hiyo kuna joto dogo sana na hivyo kutokuwa na athari kwenye camera ya hiyo telescope katika kuchukua picha.

Sub orbit ni falaki iliyopo juu kidogo ya atmosphete ya hii dunia yetu.
 


Mkuu nimeandika habari ndefu, yote imefutika na imekuja hiyo kipande tu, nitaandika tena jioni, mkuu, samahani.
 


Mkuu ni hivi; katika uso wa jua (corona) kuna miripuko ya moto kama vile miripuko ya volcano katika milimo, (solar flares/ coronal mass ejection), sasa hiyo milipuko isipotokea katika usovwa jua ndipo hali hiyo inaitwa "solar minimum"-- au kama ni ugonjwa unaweza kusema jua limekumbwa na ugonjwa wa "solar minimum".

Wasiwasi wa mleta ibara ni kwamba hali hiyo itasababisha joto kushuka katika uso wa dunia na hivyo kuharibu taratibu za mazingira na maisha kwa ujumla.


Mimi binafsi siafikiani naye au siafikiani na hao NASA, kwanza huo ni utabiri tu, pili reaction za kinuklia ndani ya kiini cha jua zinazosababisha joto na mwanga bado zitaendelea, isitoshe hiyo miripuko siyo chanzo kikuu cha joto na mwanga katika dunia yetu, hiyo milipuko ni kama bomba la moshi wakati hizo reaction zinapotendeka.

Kifupi ni kwamba hao NASA wametabiri (predict) tu na wala hawajasema hali hiyo itakuwa hivyo.

Pia hiyo hali sio mara ya kwanza kutokea, imeishatokea miaka ya nyuma.
 
nimekusoma mkuuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…