we si umeona mtoa mada vitabu tu alivyosoma kashavicha na anasema ni vya hatari, ila anataka tusikilize story yake na kuikubali 🤣Kwahiyo hizi kafara, misukule, mali za kitajiri, kusababisha uchizi kwa watu na malimbwata ni vitu vya uongo? Mbona vina matokeo na tunaona watu wakivipitia..
naunga mkonoSijawahi kusikia story ya uchawi au miujiza isiyo na matobo mengi ya kutosha mpaka najiuliza mtu anawezaje kuamini ujinga wa jinsi wa wazi kabisa, hata hivyo pia ubongo unaweza kutengeneza hallucinations, illusions na false realities kwa sababu nyingi mbalimbali ikiwemo madawa ya kulevya, njaa, ugonjwa, ndoto, hofu, PTSD, uchovu, magic tricks n.k
Hapa kuna kitu umesema ukweli mimi nilikua sijawahi kumuona mtu ana vidole 6 vya mikono yote kuna siku nikiwa kwenye gari nilikaa na Mzee mmoja nilipoangalia mikono nikaona ana vidole 6 mikono yote sio vidole 5 kuna sehemu nilikua napenda sana kwenda kuweka hela kwa wakala siku hio naenda nikakuta wakala mwingine sio yule wa siku zote wakati anabonyeza simu kuhesabu vidole alikua na vidole 6 sio 5Ni kweli kabisa unachokisema...kama wewe hujawahi kuwaona albino haimaanishi kwamba albino hawapo, hata kama utaamini wapo kwa shingo upande basi utaona ni jambo lenye utata sana kwasababu kwa hali ya kawaida binadamu hawezi kuwa albino
Bank penyewe kuna mazindiko ya hatari wanasema🤣we si umeona mtoa mada vitabu tu alivyosoma kashavicha na anasema ni vya hatari, ila anataka tusikilize story yake na kuikubali 🤣
story za uchawi ni kama za chuma ulete ambavyo hazifanyi kazi benki mkuu
Hao wapo hakuna cha ajabu hapoHapa kuna kitu umesema ukweli mimi nilikua sijawahi kumuona mtu ana vidole 6 vya mikono yote kuna siku nikiwa kwenye gari nilikaa na Mzee mmoja nilipoangalia mikono nikaona ana vidole 6 mikono yote sio vidole 5 kuna sehemu nilikua napenda sana kwenda kuweka hela kwa wakala siku hio naenda nikakuta wakala mwingine sio yule wa siku zote wakati anabonyeza simu kuhesabu vidole alikua na vidole 6 sio 5
MUngu kweli yupo na tatizo linakuja tunaamini kwamba sisi tumetokea tu na hakuna kitu kilichofanyika na nguvu fulani ya nje iliyotufanya tuwepo. Ila tambua ulimwenguni hakuna kitu kilichojizukia tu chenyewe ni lazma ipo nguvu fulani imetupa kitu tunachokiita kanuni za asiliNaomba kufahamu je Uwepo wa mungu upo kweli?
Na Mungu yupi ni wa kweli hapo Allah, wa walokole au wa wakatoliki?.
Lini na wapi?Ndio
Mfano wake nimezungumzia sio kusema wapo au hawapo ushawahi kukutana na mtu ana fungus za ulimi akifungua mdomo anaziona kabisa zinatembea mdomoni?Hao wapo hakuna cha ajabu hapo
Juzi nyumbaniLini na wapi?
Wewe elezea yoteMkuu mambo ni mengi ndo mana ninesema nitakuwa nayajib kwenye comment
Zinatembeaje? Kwa uongo wewe🙌🏾Mfano wake nimezungumzia sio kusema wapo au hawapo ushawahi kukutana na mtu ana fungus za ulimi akifungua mdomo anaziona kabisa zinatembea mdomoni?
Acha utani nimesema seriousJuzi nyumbani
Kumbe hujawahi kuona haya endelea kutokuamini mpaka uoneZinatembeaje? Kwa uongo wewe🙌🏾
Kuna binadamu wanazaliwa na vidole vya ziada, ni disorder tu.Hapa kuna kitu umesema ukweli mimi nilikua sijawahi kumuona mtu ana vidole 6 vya mikono yote kuna siku nikiwa kwenye gari nilikaa na Mzee mmoja nilipoangalia mikono nikaona ana vidole 6 mikono yote sio vidole 5 kuna sehemu nilikua napenda sana kwenda kuweka hela kwa wakala siku hio naenda nikakuta wakala mwingine sio yule wa siku zote wakati anabonyeza simu kuhesabu vidole alikua na vidole 6 sio 5
Tulia ww unaharibu uziAcha utani nimesema serious
Sasa hio ni 1/10 tena wa kuwatafuta kwa Tochi maana ni wachache sanaKuna binadamu wanazaliwa na vidole vya ziada, ni disorder tu.
Nipo ndani ya mada, bibieTulia ww unaharibu uzi
Sawa kwa mtazamo wako umewaza hivyo ila mimi sifundishi njia za giza nimeweza uzi kufungua macho kwa wale ambao wanautata kuhusu uwepo wa mungu, na hapo juu nimeshaeleza kuna baadhi ya vitabu vipo direct sana na kwa mazingira na maisha yetu ni rahisi sana mtu atamani kujaribuwe si umeona mtoa mada vitabu tu alivyosoma kashavicha na anasema ni vya hatari, ila anataka tusikilize story yake na kuikubali 🤣
story za uchawi ni kama za chuma ulete ambavyo hazifanyi kazi benki mkuu
naam sasa wewe jibu hilo unaona linaleta mantiki? maana ndo jibu lao kwamba bank sasa ndo kuna uchawi mkubwa kuliko wote, au kuingia bungeni lazima uwe umejipanga haswa maana sio poa hata kidogo --- kumbe ni mambo ya kwenda sawa na wenye system tu.Bank penyewe kuna mazindiko ya hatari wanasema🤣
Wewe lax hujapigwa na kitu kizito naona! Haya mambo yasikie tu!