comrade_kipepe JF-Expert Member Joined Jun 25, 2019 Posts 8,218 Reaction score 16,448 Jul 31, 2026 #1 Siku hizi mwanamke akienda sokoni akiwa ananunua matango akiyashika na kuchagua kubwa soko Zima macho kwake! π ποΈ Mtu ukienda kununua mafuta ya nazi unaenda kununua kwa kificho wakati unaenda kupaka tuu kwa matumizi ya ngozi Yako. Ukinunua zako Nazi na mihogo ule vitu asili watu wote macho kwako ποΈ π Akili ya mtu mweusi inawaza ujinga mda wote.
Siku hizi mwanamke akienda sokoni akiwa ananunua matango akiyashika na kuchagua kubwa soko Zima macho kwake! π ποΈ Mtu ukienda kununua mafuta ya nazi unaenda kununua kwa kificho wakati unaenda kupaka tuu kwa matumizi ya ngozi Yako. Ukinunua zako Nazi na mihogo ule vitu asili watu wote macho kwako ποΈ π Akili ya mtu mweusi inawaza ujinga mda wote.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,876 Reaction score 193,815 Jul 31, 2026 #2 comrade_kipepe said: Mtu ukienda kununua mafuta ya nazi unaenda kununua kwa kificho wakati unaenda kupaka tuu kwa matumizi ya ngozi Yako. Click to expand... Mafuta ya nazi unayanunua kwa tahadhari na kificho sana... ππ Ila lodge unaingia bila wasi wasi wala aibu... Cc: Mahondaw
comrade_kipepe said: Mtu ukienda kununua mafuta ya nazi unaenda kununua kwa kificho wakati unaenda kupaka tuu kwa matumizi ya ngozi Yako. Click to expand... Mafuta ya nazi unayanunua kwa tahadhari na kificho sana... ππ Ila lodge unaingia bila wasi wasi wala aibu... Cc: Mahondaw
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 53,680 Reaction score 99,412 Jul 31, 2026 #3 Ni muda sahihi kwa kila mmoja, mwanaume na mwanamke,kumiliki hijab.Usiulize kwa nini?Wewe miliki tu in case of emergencies!
Ni muda sahihi kwa kila mmoja, mwanaume na mwanamke,kumiliki hijab.Usiulize kwa nini?Wewe miliki tu in case of emergencies!
comrade_kipepe JF-Expert Member Joined Jun 25, 2019 Posts 8,218 Reaction score 16,448 Jul 31, 2026 Thread starter #4 Smart911 said: Mafuta ya nazi unayanunua kwa tahadhari na kificho sana... ππ Ila lodge unaingia bila wasi wasi wala aibu... Cc: Mahondaw Click to expand... Mambo yamechanganyikana
Smart911 said: Mafuta ya nazi unayanunua kwa tahadhari na kificho sana... ππ Ila lodge unaingia bila wasi wasi wala aibu... Cc: Mahondaw Click to expand... Mambo yamechanganyikana
comrade_kipepe JF-Expert Member Joined Jun 25, 2019 Posts 8,218 Reaction score 16,448 Jul 31, 2026 Thread starter #5 Moisemusajiografii said: Ni muda sahihi kwa kila mmoja, mwanaume na mwanamke,kumiliki hijab.Usiulize kwa nini?Wewe miliki tu in case of emergencies! Click to expand... Itabidi tuu
Moisemusajiografii said: Ni muda sahihi kwa kila mmoja, mwanaume na mwanamke,kumiliki hijab.Usiulize kwa nini?Wewe miliki tu in case of emergencies! Click to expand... Itabidi tuu
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 53,680 Reaction score 99,412 Jul 31, 2026 #6 comrade_kipepe said: Itabidi tuu Click to expand... Ni wakati muafaka huu wa kuiangalia pimamaji kama ina maji.
comrade_kipepe said: Itabidi tuu Click to expand... Ni wakati muafaka huu wa kuiangalia pimamaji kama ina maji.
comrade_kipepe JF-Expert Member Joined Jun 25, 2019 Posts 8,218 Reaction score 16,448 Jul 31, 2026 Thread starter #7 Moisemusajiografii said: Ni wakati muafaka huu wa kuiangalia pimamaji kama ina maji. Click to expand... ππ
Moisemusajiografii said: Ni wakati muafaka huu wa kuiangalia pimamaji kama ina maji. Click to expand... ππ
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 116,388 Reaction score 188,119 Jul 31, 2026 #8 Upuuzi mtupu.