Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 3,949
- 5,977
Welcome to Facebook hawa wa kitanzania
duuu mbaya kweli kweli mungu alikuwa na makusudi alipoumba mwanamke na mwanaume ...
True FL,kazi ipo kwa wapenda ti gooooooooooooooooooooooo!
Ila hapa hakuna kudhulumu otherwise kichapo
kuwatukana watu dizaini hizo nikuonyesha upeo wako ulivyo mdogo........
as much as i hate homos and their acts
nimejifunza vitu vingi vinavyonizuia kuwatukana au uwadhalilisha....
hivi mmewahi kusikia kitu kinachoitwa transgender disoder?????????????????????????????
kama wale wa show ya rupal kina jessica wild na juju bee loh!huyu pia si huwa ni judge kwenye tv show ile ya nywele au sio?Mbona huyu ana afadhalia hujaona ma Drag Queens wewe?