Hata najua basi
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 1,882
- 3,730
Kwasasa hivi wewe unaishi wapi Mkuu?3 dunia sio sehem nzuri ya kuishi
Naishi hapa hapa duniani hii haibadilishi kua sio sehem nzuri kuishiKwasasa hivi wewe unaishi wapi Mkuu?
Umesema Mungu yupo na ana watu wake hii nimeinzingatia sanaMUNGU YUPO, ana watu wake na njia zake, ndiye chanzo cha akili na hekima zote.
Hint: You're approaching a KING, kama rais binadamu tena muuaaji wa maelfu anaendewa kwa uoga, adabu na itifaki, vipi MFALME WA WAFALME.
"Mtanitafuta na kunipata. Mtakaponitafuta kwa moyo wote."
Yeremia.29.13.BHN
Most of the things umetaja shows lack of Godly Wisdom.
BTW, Dunia kaachiwa mtoto wa MUNGU aliyeasi: shetani. Huyo mtoto naye ana watoto wake, ndo hao unaowalalamikia hapa.
Unfortunately watoto wa shetani ni wengi kuliko wa MUNGU ndomana dunia ni HOVES, na ukitaka kujua hilo:
wewe mwenyewe unamkataa MUNGU na njia zake, cha kuchekesha unalalamikia ndugu zako wa kutoka kwa yule baba yenu muovu.
Kweli Mungu ana watu wake πMUNGU YUPO, ana watu wake na njia zake, ndiye chanzo cha akili na hekima zote.
Hint: You're approaching a KING, kama rais binadamu tena muuaaji wa maelfu anaendewa kwa uoga, adabu na itifaki, vipi MFALME WA WAFALME.
"Mtanitafuta na kunipata. Mtakaponitafuta kwa moyo wote."
Yeremia.29.13.BHN
Most of the things umetaja shows lack of Godly Wisdom.
BTW, Dunia kaachiwa mtoto wa MUNGU aliyeasi: shetani. Huyo mtoto naye ana watoto wake, ndo hao unaowalalamikia hapa.
Unfortunately watoto wa shetani ni wengi kuliko wa MUNGU ndomana dunia ni HOVES, na ukitaka kujua hilo:
wewe mwenyewe unamkataa MUNGU na njia zake, cha kuchekesha unalalamikia ndugu zako wa kutoka kwa yule baba yenu muovu.
Au unataka nijiue ili nithibishe kua dunia ni mbaya na sio sehem nzuri kuishi?Kwasasa hivi wewe unaishi wapi Mkuu?
Sawa mkuuYaki kupata uliyoyataja ujikumbushe kwenye hiyo list.
Haha ahha haha haha wewe unajua raha ya kupiga mbupu weee
Kher kama nikuja dunian basi ningekuja wakati huoEducation in Africa is scam
Religions systems is scam
Politics Motherfucker is scam
Marriage system is scam too
Yale MAISHA kabla ya ukoloni ndo yalikuwa maisha bora
Kulikuwa hakuna dini
Hakuna education system
Hakuna siasa za kijinga
N.k
Endelea kuishi mkuu coz hata ukijiua hatutojua,Au unataka nijiue ili nithibishe kua dunia ni mbaya na sio sehem nzuri kuishi?
π π πEndelea kuishi mkuu coz hata ukijiua hatutojua,
matatizo hayakimbiwi bali hukabiliwa,tuendelee kupambana Mkuu.
Kwahiyo Mungu ana watu wake π€£MUNGU YUPO, ana watu wake na njia zake, ndiye chanzo cha akili na hekima zote.
Hint: You're approaching a KING, kama rais binadamu tena muuaaji wa maelfu anaendewa kwa uoga, adabu na itifaki, vipi MFALME WA WAFALME.
"Mtanitafuta na kunipata. Mtakaponitafuta kwa moyo wote."
Yeremia.29.13.BHN
Most of the things umetaja shows lack of Godly Wisdom.
BTW, Dunia kaachiwa mtoto wa MUNGU aliyeasi: shetani. Huyo mtoto naye ana watoto wake, ndo hao unaowalalamikia hapa.
Unfortunately watoto wa shetani ni wengi kuliko wa MUNGU ndomana dunia ni HOVES, na ukitaka kujua hilo:
wewe mwenyewe unamkataa MUNGU na njia zake, cha kuchekesha unalalamikia ndugu zako wa kutoka kwa yule baba yenu muovu.