mischa
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 367
- 177
Mama mwenye nyumba kamuita mama wa jirani akamuuliza mama una kifua mama wa jirani akamwambia nnacho,bac mama mwenye nyumba akamwambia kesho mkitoka na mmeo kwenda kazini we bana mahali ntakupigia uje uone kama una kifua au lah,mama mwenye nyumba kazi yake kushinda hapa nyumbani kuchunguza mboga gani wapangaji tumepika na wageni gani tumeleta na habari zote za mtaani anazo kiganjani,bac kesho yake mama jiran katoka na mumewe kwenda kazin nae akafanya kama alivyoambiwa na mama mwenye nyumba akabana mahala baada ya masaa kadhaa akamwambia njoo hapa kwangu ujione ya mumeo,kweli mama wa jirani akaja na viwembe mkasi ya kumtia makovu, yeyote ndani ya fumanizi,naam akafika ndipo mama mwenye nyumba akamwambia chungulia maana nyumba zimepakana na chumba kuangalia Hamadi!mumewe anabaka kale katoto kao cha miaka mi3!!!,mama jirani kazimia mtaa mzima umejaa kwetu aibu baba wa jirani kumbe ndo ulikuwa mchezo kale katoto amekainglia mbele na nyuma kila cku hudai anaenda kazi akirudi anamwambia housegal nipe nikacheze nae, jamani dunia ipo kweli??