REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,391
- 1,960
Uwiiii wanaume jmn,ni nini hiko..unashindwa nini hata kununua malaya ,dah nikija kuzaa eh Mungu nilindie watoto..
unauza shilingingapi
Uwiiii wanaume jmn,ni nini hiko..unashindwa nini hata kununua malaya ,dah nikija kuzaa eh Mungu nilindie watoto..
Pamoja kwamba sijasoma comments zote lakini mtoto wa miaka mitatu aingiliwe mbele na nyuma tena kila siku akili inagoma kuamini.
Daaaah kama ni kweli basi ni ukatili uliopitiliza ambao ni kwa imani za kishirikina tu unawezekana.
unauza shilingingapi
Ningehakikisha kabla ya kuzimia nimekata kidudu
hakyanani hata me ningemkodishia vibaka wamkate kidude chake,haiwezekani uniharibie mtoto nikuache hivihivi
Siamini...wanyama ndio wanaweza kufanya hivi..