Dunia imebadilika, acheni kupost post mapicha yenu huko mitandaoni

Dunia imebadilika, acheni kupost post mapicha yenu huko mitandaoni

Lakini sasa nimeelewa kwanini yote hayo yalikuwa yanafanyika, na ninakubaliana nao kuwa walikuwa na wapo sawa hata na sasa. Wote ni mashahidi jukwaaa la MMU watu wakitafuta wapenzi, kwenye social networks tofauti watu wakitafuta wapenzi. Picha nyingi zimekuwa zikitumika huko, na nyingi kati ya picha zinazotomika si za wahusika wenye picha wenyewe na wala wao hata hawajui.
Ni kwer kabisaa mkuu hata huyu mwenye picha uliyo iweka kwenye avatar yako alikosea sana kuweka mtandaoni..kwer Kabsaa mkuu!!!
 
Avatar zetu wengi sio picha zetu, kila mmoja anajua aliikwapua wapi na kwa sababu zipi.... tuanzie hapo kwanza.

Naunga mkono hoja.
 
Kaka kama unaamini uchawi na ushirikina wa kutumia picha hilo ni lako....mimi navyojua ni kwa sababu ya Security na Privacy ya mtu...sasa hoja yangu mimi kapuku naishi chini ya dola moja kwa siku nahofia nini juu ya Privacy yangu...nina nini mimi hadi eti nifikirie kupost ka picha ka kangu ka birthday pale Facebook in risk?
sawa mkuu,kila mtu aishi vile apendavyo.
 
Nachukia kupost picha hata kwa Whatsapp status tu.

Nilishaacha huo ukunguni zamani.
 
Ni kwer kabisaa mkuu hata huyu mwenye picha uliyo iweka kwenye avatar yako alikosea sana kuweka mtandaoni..kwer Kabsaa mkuu!!!
ni kweli kabsa pona yake mimi siitumii kwa mabaya,ila fikiria ingekutana na mtu halafu aitumie kwa matumizi yake mengine anayoona yeye yanafaa.

Hapo vipi unadhani mkuuu?
 
ni kweli kabsa pona yake mimi siitumii kwa mabaya,ila fikiria ingekutana na mtu halafu aitumie kwa matumizi yake mengine anayoona yeye yanafaa.

Hapo vipi unadhani mkuuu?
Nadhani kwa picha hyo unayoitumia labda kuna mwingine anaitumia pia kwa manufaa yake kama wewe... NADHANI!!!😂
 
Ujinga, Kama ni hivyo picha za matajiri amina MO wangekuwa wanazisaka balaa na hadi sasa hivi wangeshamfanya msukule....nyie ndiyo huwa mnaogooa hata kujenga makwenu vijijini kisa kuogopa kurogwa!!
Unatia kinyaa
 
Suala la picha kwenye social networks ni suala binafsi.


Dhambi mbaya na vitabu vyote vya dini vimeeleza kuwa dhambi ni mbaya lakini watu wanazini, wanaua, ni waongo wakubwa n.k


Kama hujawahi kufanya dhambi basi ni rahisi kusikia kila jambo na kulifanya kadri itakiwavyo.
 
Wajukuu wa masogange watakuja kuona msambwanda wa bibi yao
Screenshot_20191115-170930.jpeg
 
Umeongea sana lakini haueleweki point ya kututaka tusipost picha ni ipi.Yaani umezunguka tu mbuyu.karne hii unataka kuturudisha kwenye picha za album za analogia?? Watu wanataka kupost ili watambulike na ndugu zao,kuonekana na kujuliwa hali na wapendwa wao kwa matukio yanayoendelea katika maisha yao.Sasa wasipost kwa misingi ipi? Hayo ni mawazo ya kizamani.Picha,kumbukumbu siku hizi zinahifadhiwa online hususan kwenye mitandao ya kijamii.Hayo maeneo na watu maarufu wasiopenda picha ni kwa sababu za kisiasa,usalama na reputation zao katika jamii na wala haimaanishi hawapigi picha kabisa wanapiga ila kutegemea na mazingira yao na status zao.
 
Hv nani huyu mwenye mawazo ya ujima Watu wakitaka picha yako wataipata tu kwenye smart Tv tunazoangalia uku zinaturekodi bila sisi kujuha au kwenye majengo makubwa tunayoyatembelea kuna kamera na picha utapigwa bila ridhaa yako ishi ukijiamini chochote utakachosingiziwa jamii itasimama nawe
 
Katika Dunia ya sasa, unapotaka kufanya chochote kinachohusiana na Privacy yako kumbuka huu msemo kuwa;

Do it at your own risk!
una uhakika huyu jamaa ni yeye kama unavyoiona hiyo avatar yangu?

wewe umeamua kuweka picha za watu na huo sio ujanja bali ni kinyume cha sheria

usilete pigo za kusema old fashion,so wewe ulie updated unaona sawa kutumia picha za wengine bla kibali?
Nyie jamaa sura zenu zinafanana mno ni mtu mmoja nn!?
 
ni kweli ila kuzihifadhi kwa FB si salama wengine tuna assignement zetu tunaa ambiwa Hack akaunt ya flani

unafanya attempt kitu kimo,sasa wanafunzi wengine hutumia mafunzo hayo tofauti na lengo

labda uzihifanyi kwenye hard disk,flash,memory,online drives,nk ila sio huko kwenye ma social networks
Wewe ni mwalimu?
 
nje ya mada

mwaka 2017 nilipost picha ya mashine yakfanyia mazoezi ile ya kukimbilia (nilikua nauza) bahati mbaya mimi mwenyewe nilikuepo kwa picha.
asee mpaka leo io picha inazunguka
 
Back
Top Bottom