Dunia hii ni holographic simulation (Were not human)

Asilimia 99 yabinadam hawafahamu hio Siri unayotaka kutupa???
Unaifahamu ww nahao wachache ulio wataja??

Niko naresearch yangu binafsi nafanya kuhusu tabia namazoea yavitu vidogodogo tunavofanya kwenye maisha yetu zinavoweza kukuza au kuharibu uwezo wetu wakufikiri nakuchambua mambo.
Hahahaha we jamaa
 
Nenda Youtube gonga neno "Cymatics" uone jinsi sound inavo form maumbile, connect dots why freemasons use symbols to hide their communication.
Those symbols translated into our subconsciousness
Kudek hapa ndiio nilipokua nataka kupachimbuaaa


Music unakitu ndani yakee nitajua tu...
 
Mungu kaiumba Dunia kwanza kabla ya vitu vyote kwahiyo baada ya hapo kila alichokitengeneza lazima kishabiiane na Dunia ili kisilete/kisipate tabu ktk Dunia ambapo mtoa mada anatujuza kwamba organs nyingi ktk mwili wa binadamu zinashabihiana na Dunia ndio nikasema haya yote ni uwezo wa Mungu

Angalia vitu ambavyo ni Godmade na vitu ambavyo ni Manmade.

Vitu ambavyo ni Godmade vinaisha/vina muda maalum...angalia ugumu wa Chuma lakini kikikutana na Maji na Hewa kinapata kutu na kuisha

Twende kwenye Manmade mfano Plastic inakua ngumu kuisha labda uichome moto.
Noted. Nmekupata
 
Na wanafanya agenda ya ku program mind na perception za watu kuhusu ukweli wa sisi ni wakinani na kwanini tupo hapa

Wanafanya kila kitu ili wewe toka unakua mpaka saivi usahau kuwa wewe ni nani na kwanini uko hapa
Si kweli kwamba hizi secret societies zinafanya hivyo. Hizo ni propaganda za watu

Kwaiyo ninachotaka kukuambia ni kwamba hakuna kitu ambacho kina rangi
Ila rangi inatokana baada ya ubongo wako kufanya utambuzi wa energetic information
Kwaiyo unataka kusema bongo zetu zipo sawa watu wote kwenye utambuzi wa vitu?

Kwaiyo unaona kuna watu wachache ambayo wanajua siri hii ya dunia
Na wanaitumia vibaya kuwa nyanyasa
Watu wengine
Knowledge is power

Music pia nasikia una Energy, frequency, and vibration

Secret society hutumia music ili kuteka mind zetu Kuna ukweli gani hapa.?
Music ni moja ya minds altering device based on thee frequency your tuning in.. Na hizo habari za sec. Societies naona ni propaganda tuu


Ni mtizamo tuuu
 
Thanks for the nice threads.
Next time jaribu kuelezea kwa undani zaidi kwa kuchagua segment 2 au 3 kati ya hizo ulizoziandika, itapendeza zaidi.
 
Back
Top Bottom