Dunia haina usawa


Safi sana...

Cc: mahondaw
 
Duuh.!! Malipo ni hapa hapa kwa duniani. Godwin Mungu azidi kukulinda.!! Nam fan an sha Bokasa na Jamba Pasipo Mashuzi.!!
 
Daaah! Hizi episode za leo ndefuuu halaf hazina episode namba

Jackal uwe una ziweka kwa episode kama anavo fanya Shunie basi
Mm napenda sana story zikiwa kwwa urefu huu napataje uvivu sema hakuna namna tu acha nisome hivyo hivyo
 
Au uweke mbili kwa siku jacka nimekuachia uendelee mpaka mwisho
 
Sasa hii inahitaji nikae kwenye laptop niwe nafanya hiyo kazi.Au labda niwe namrushia Shunie Inbox,halafu yeye anafanya huo mchakato,Shunie sijui uko wapi tuchangie mawazo hapa!
Hapana endelea tu uweke mbili kwa siku
 
Hii website ya mabadiliko na kweli naifananisha na jf
 
Oyoooo. Wakati Wa revenge sasa.huzuni zilizidi.na bado.asante kwa uhondo
 
Aah jamani 2 tena.mimi sichoķ kusoma.kama ipo mpaka mwisho sio mbaya kuimalizia yote. Kama bado mwache aweke tu mpaka ukomo Wa hadithi yenyewe.angalau ni time ya revenge. Huzuni huzuni tupa kule
Nyie mnatumia pc ndio mana ni ndefu sana aweke tu mbili
 
Duh....maisha haya ila malipo huwa ni hapa hapa duniani, nitamsaidia Godwin kulipa kisasi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…