Inamaana hata chama cha marehemu hawa wezi kumsaidia?Kama yeye ndo chanzo cha yote hayo afanyeje sasa?
Natamani alshabab wamtungue huko huko aliko![]()
HahahaNgoja nikuletee link dada halafu naambiwa sijui kubembeleza
Unajua waweza lia sababu nafsi inakusuta?Ila si unakumbuka Mapoto alivo kufa Rais alilia hadi akawa ana piga chafya! May be hata hahusiki
Jana nilimkata biti nikamwambia kijana i will be watching you, olewake umzingue ShunieWengine nimewaacha nimebaki na yule tu
Uje nihadithia kidogoEwaaaaa
Ngoja nikaone nani alimuua padiri..
Baadae![]()
Yaani ile stage ambayo rose anapitia waweza sema Mungu hayupo,kila kitu chaenda mrama,sadInamaana hata chama cha marehemu hawa wezi kumsaidia?
It seems kila kitu kina mwendea vibaya Rose
Jana nilimkata biti nikamwambia kijana i will be watching you, olewake umzingue Shunie![]()
Nadhani alielewa






mlikutana wapi anakoma jamani sakayo akionana nae popote salam zinafika kama zilivyo halafu akaniambia nilikubaliana na sakayo asikwambieSawa shunie akeUmeona eeenh yaan naogopa sana tupate hata hizo mbili kwa siku mana shigongo nimeshamfikia
Hahahahawewe me nimeshawaacha wote nimebaki na D tu
Hahahaha
We hunishindi, sema Ney huwa ana panick tuu mi ni kijana mtulivu






Yeaaah! Thats my lovely sis.Ewaaaaa
Ngoja nikaone nani alimuua padiri..
Baadae![]()
