the supporter
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 836
- 1,109
Kazi kwelikweli
Huyo atakuwa Mkongo tu.Ni Jumatano mchana, lunch time hours, nimekaa kwenye restaurant moja mjini nikila, ghafla kaingia kijana mtanashati sana, kapendeza haswa, ana jeans na viatu vya bei mbaya, ana bracelet ya dhahabu, cheni kubwa ya dhahabu na pete nzito. Alipoingia tu mgahawa mzima ukajaa harufu ya Issey Miyake, nzuriii.
Akatembea taratibu na kuja kwenye meza niliyokuwa nimekaa, akaomba akae nami nami nikamkaribisha.
Nilipomaliza kula akaniomba ninywe japo glass ya wine ili tuweze kuongea kidogo na kufahamiana.
Mazungumzo yalinoga, tukabadilishana namba za simu na kuagana.
ijumaa mchana tukakutana tena kwa ajili ya lunch, tukawa marafiki wazoefu, kucheka, kugonga na utani kiasi, tukakubaliana jumamosi tutoke usiku kwa ajili ya candle light dinner.
Dinner ilikuwa nzuri sana na ilisindikizwa na muziki mwororo, it was so good really, baada ya dinner tukaanza kupata ndovu (huwa sina muda wa ku fake na savanna au Heineken, mi yangu ni ndovu tu) Usiku mzito, akili zimeongezeka, tukaona ni muda muafaka kwenda kupumzika.
Katikati ya mchezo nikaanza kuhisi kuna kitu kinanikwaruzakwaruza, baada ya chezo kwisha tukalala kama wafu, nilipoamka nikakuta jamaa kalala ile mbaya, kiunoni ana hirizi halafu una bag kubwa kuliko kufuli la geti. Nilikasirikaje? Alipoamka nikamuuliza hii ni ya nini? Eti inamlinda yeye na mali zake. Nikamuuliza aliyekupa yeye ana mali nyingi kiasi gani?
Akasema hana mali, lakini anaiamini sana.
Kuanzia siku hiyo sitaki hata kumuona, asije akanitoa kafara mtoto wa watu kwa ajili ya uchu wake wa utajiri.
We Mwallu,mimi nina hirizi kiunoni ila wakati wa mechi naivua.haya hebu weka wazi kakukumbusha nini?uuuwiiiii!
ahaahahhahahahah..umenikumbusha mahali
Wewe mama Temba kwani umesahau zile shanga huwa mnavaa za nini? kwa hiyo hao ilikuwa ngoma droo.ha ha haha jamani haikukupandisha steam wakati wa kugegedana loh
Aisee mtekenyo mtekenyoWewe mama Temba kwani umesahau zile shanga huwa mnavaa za nini? kwa hiyo hao ilikuwa ngoma droo.
Umesema kweli baby,hiyo initwa chachandu au kachumbari juu ya pilau,tatizo linakuja mazivu yakiwa marefu,maana hujisokota na hizo chachandu halafu maumivu yake balaaaa.Aisee mtekenyo mtekenyo
Umenifanya nikasisimka aisee.. Hiyo sawa yake ni kukaa majani kila sikuUmesema kweli baby,hiyo initwa chachandu au kachumbari juu ya pilau,tatizo linakuja mazivu yakiwa marefu,maana hujisokota na hizo chachandu halafu maumivu yake balaaaa.
Wengi wanaohukumu ndio kwanzaa....wadhaifu kinomaHata iwe kweli. So what?
Ni kweli mamii au brazilian wax kwa sana tu,umesema umesisimka ,duuh nimewasha tractor na dereva hakuna.sasa itakuwaje?Umenifanya nikasisimka aisee.. Hiyo sawa yake ni kukaa majani kila siku
Hata ww uko cheap sana maana jamaa hajatumia jasho kukupata
Hivi lara 1 yuko wapi siku hizi?Nazjaz Mtoto wa Tanga leo umekuwa hivyo?
Taratibu tunakokwenda ni karibu kuliko tunakotoka