Dume zima na hirizi kiunoni

Dume zima na hirizi kiunoni

daah.(vina mwanzo kati na mwisho)........mwenyewe kakusikia......lakini so long as umlimpa mchezo atajisifia......lakini inakuaje mshikaji uchawi unauaminia......?muamini mola katika hii dunia.........!! hirizi na makafara yatakuharibia.........!!

hivi kupewa mbunye ni issue kubwa ? shikamooo
 
Yaani hapo umedhihirisha ni jinsi gani ulivyo Maharage ya Mbeya a.k.a Chupi mkononi.
Unajuaje kama kisa hiki ni cha kweli ama lah? Usiwe mwepesi wa kukimbilia hitimisho
 
...khaaaa,aayayaaaa,uzinzi mbayaaa.....!!
 
Unapendelea kushinda wapi Nazjaz, nami nimejipulizia uturi wa Issey Miyake...
 
Last edited by a moderator:
Ni Jumatano mchana, lunch time hours, nimekaa kwenye restaurant moja mjini nikila, ghafla kaingia kijana mtanashati sana, kapendeza haswa, ana jeans na viatu vya bei mbaya, ana bracelet ya dhahabu, cheni kubwa ya dhahabu na pete nzito. Alipoingia tu mgahawa mzima ukajaa harufu ya Issey Miyake, nzuriii.
Akatembea taratibu na kuja kwenye meza niliyokuwa nimekaa, akaomba akae nami nami nikamkaribisha.
Nilipomaliza kula akaniomba ninywe japo glass ya wine ili tuweze kuongea kidogo na kufahamiana.
Mazungumzo yalinoga, tukabadilishana namba za simu na kuagana.
ijumaa mchana tukakutana tena kwa ajili ya lunch, tukawa marafiki wazoefu, kucheka, kugonga na utani kiasi, tukakubaliana jumamosi tutoke usiku kwa ajili ya candle light dinner.
Aaa,sasa si bora uendelee utafunwa naye kwasababu kama mtu wa kukutoa kafara ameshakutoa kwakuwa kipande cha mwili wako ameondoka nacho.je unaijua hiyo kuwa mwili wako umeugawa sehemu yako anatembea nayo popote aendapo nawe upo?
 
Duh! Ukome kufanya umalaya,tatizo lenu mademu wa town huwa mnajifanya mnajua sana ku sort,lakini siku zote mnaambulia maumivu tu,nyambaf zenu!
 
Pole shosty kwa yaliyokukuta. Siku nyingine unamseach kwanza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom