Kaaudio kametulia, kwakweli hiki alichotufanyia FA mungu anamuona.Hiyo mistari me hoi mwana FA we nyokostingish kabisa...
Ila mwenye audio atume hapa please...
Kwa kweli dah...Kaaudio kametulia, kwakweli hiki alichotufanyia FA mungu anamuona.
Poa tu, kwani tukimfuatisha tutakosa kipi tusichokijua. Hao watoto wazuri wana kipi cha ziada? Wana TV ndani?Kuna mtu amekuita miss chagga
Kama mnamfatisha Fa, watoto wazuri mtaishia kuwaita SHEMEJI.