Mbalamwezi1
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 2,073
- 2,021
Ahsante sana binamu(Mwana FA) kwa kuwapa ukweli watoto wa kike kwenye hii ngoma mpya ya Dume Suruali!!Ebu tupia punch line uliyoipenda kwenye hili jisongi!!punch line yangu hii:
"nihonge nanunua nini? kwanini yani kuna kipi nsichokijua ina tv ndani?"
"nihonge nanunua nini? kwanini yani kuna kipi nsichokijua ina tv ndani?"