Dume hili lanichefua jamani

Dume hili lanichefua jamani

Golden Girl umemfuma four times ukasamehe?? kweli wewe ni golden girl unastahili pongezi. But lemme break it down for you like this; huyo jamaa anakujua wapi zipo weak spot yako and he is pushing the buttons makusudi kwa sababu wewe huna la kusema kwake and he knows it. Alishateka akili yako muda mrefu. Nakushauri kama umedhamiria inabidi usimame kidete na kuchukua hatua kali dhidi yake. Kwa kuanzia kata mawasiliano, if he is still stalking u mshitaki police na TCRA. Usimbembeleze halafu akipigia simu unapokea, hataacha. His ego tells him that you are his and that's that.
 
Heh yaani umeandika "ANA TABIA ZA UASHERATI KIASI CHA KUZINI NA WANAUME WENZAKE"
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Unamuendekeza sana...

I hate women who complain abt their men disturbing them wakati wao wanawaruhusu kuwasumbua! #sielewi


Na akitoka hapa ataenda kumuambia hata JF wamesema wewe hufai!!!!!! Nyambaaaaaf kabisa

Aolewe naye tu
 
Wewe utakuwa unaumwa kidogo.

nilikuwa na mpenzi tuliedum nae takriban mwaka mmoja na nusu tukashindana tabia. kikubwa ni kwamba nimekuwa nikimfuma live kitandani na wanawake tofaut,kila nikimfuma anaomba msamaha tena huku machozi yanamtoka, tunaenda kupima ukimwi then namsamehe;nimemfuma mara nne na wanawake tofauti tofauti nikamwambia its enough. tukaachana. tatizo linakuja pale anaponisumbua mara kwa mar kwenye sim kwamba hawezi kuishi bila mimi. ananitumia text za mapenzi ukizingatia mim ninampenz mwingine.ameshanigombanisha na wapenzi wawili kila mara akijua mwanaume niliye nae anamfanyia fujo na matusi kem kem. nimemuweka black list, imeshindikana. nimebadilisha namba mara 3,anaitafuta namba yangu anaendeleza fujo zake,kibaya zaidi anatabia za uasherati kiasi cha kuzini na wanaume wenzake,jamani nimeshachoka na huu usumbufu naomben ushauri jaman.
 
Nina wasi wasi na post zako golden girl, hivi mama yake na hili dume linalokusumbua ndiye yule yule anayekusumbua kukuomba nguo na kila kitu chako kama ulivyoongea kwenye ule uzi mwingine? nahisi hivi vitu untunga ili kuumiza watu vichwa hapa!!

Kumbe...........

nashukuru mungu sijatoa neno langu hapa dah....................
 
1234207_513522615400730_1874989735_n.jpg
 
Duh!unamoyo wa Nyau maana wengine hata ikifumwa simu kinanuka!!
 
kama tabia ulizoandika ni za kweli mbona haiihitaji hata ushauri hio? Yaani hapo hakuna cha kujadili, achana nae
 
a u serious?
Ww hujaamua tu,ukiamua hawezi kukusumbua!
 
Uyo boyfriend wko apana jamani yani mara 4 zote afu unamsamehe ama kweli good hearted people are the most hurted people.....uyo hafai ata kusamehewa tena ni muumini wa kabaaang JEHOVA!
 
nilikuwa na mpenzi tuliedum nae takriban mwaka mmoja na nusu tukashindana tabia. kikubwa ni kwamba nimekuwa nikimfuma live kitandani na wanawake tofaut,kila nikimfuma anaomba msamaha tena huku machozi yanamtoka, tunaenda kupima ukimwi then namsamehe;nimemfuma mara nne na wanawake tofauti tofauti nikamwambia its enough. tukaachana. tatizo linakuja pale anaponisumbua mara kwa mar kwenye sim kwamba hawezi kuishi bila mimi. ananitumia text za mapenzi ukizingatia mim ninampenz mwingine.ameshanigombanisha na wapenzi wawili kila mara akijua mwanaume niliye nae anamfanyia fujo na matusi kem kem. nimemuweka black list, imeshindikana. nimebadilisha namba mara 3,anaitafuta namba yangu anaendeleza fujo zake,kibaya zaidi anatabia za uasherati kiasi cha kuzini na wanaume wenzake,jamani nimeshachoka na huu usumbufu naomben ushauri jaman.

Huyo ni hatari mpaka anazini na wanaume wenzake..
 
nilikuwa na mpenzi tuliedum nae takriban mwaka mmoja na nusu tukashindana tabia. kikubwa ni kwamba nimekuwa nikimfuma live kitandani na wanawake tofaut,kila nikimfuma anaomba msamaha tena huku machozi yanamtoka, tunaenda kupima ukimwi then namsamehe;nimemfuma mara nne na wanawake tofauti tofauti nikamwambia its enough. tukaachana. tatizo linakuja pale anaponisumbua mara kwa mar kwenye sim kwamba hawezi kuishi bila mimi. ananitumia text za mapenzi ukizingatia mim ninampenz mwingine.ameshanigombanisha na wapenzi wawili kila mara akijua mwanaume niliye nae anamfanyia fujo na matusi kem kem. nimemuweka black list, imeshindikana. nimebadilisha namba mara 3,anaitafuta namba yangu anaendeleza fujo zake,kibaya zaidi anatabia za uasherati kiasi cha kuzini na wanaume wenzake,jamani nimeshachoka na huu usumbufu naomben ushauri jaman.
huyo kaa naye mbali halafu epuka kumjibu sms zake na pia ukibadilisha number ya simu huitoi hovyo...
huyo ni shetani for sure...yaani hadi nimeishiwa cha kusema kuhusu hilo jamaa lako! pili kwenye hao wapenzi wako uliyogombana nao hukubahatika kumpate mbabe wake? ikishindikana nitafute mm!
 
Back
Top Bottom