director Zion
Member
- Jan 2, 2017
- 67
- 30
Habari ndugu zangu, nauza duka langu lililopo Tandika double kibin sokoni, duka ni la vyakula na vitu mbali mbali mfano sukari, ngano, mafuta, sabuni na nk lenye mtaji wa sh 20,000,000.
Biashara Ni nzuri Sana na ofisi ni nzuri ila mimi nahama makazi; nahamisha familia namfuata mume wangu.
Hutojuta, mimi mwenyewe naliuza huku roho inaniuma...
Changamkieni fursa utanishukuru baadaye....
Mawasiliano yangu Ni 0656 052164 kwa aliye serious tu ...ahsante
Biashara Ni nzuri Sana na ofisi ni nzuri ila mimi nahama makazi; nahamisha familia namfuata mume wangu.
Hutojuta, mimi mwenyewe naliuza huku roho inaniuma...
Changamkieni fursa utanishukuru baadaye....
Mawasiliano yangu Ni 0656 052164 kwa aliye serious tu ...ahsante