Hongera kwa wazo lako ziri.
1. Tafuta eneo unalokusidia kufanya hiyo bishara.
2. Nenda ofisi za TFDA hapo Singida, kachukue form ya maombi utaijaza utakapoijaza na kuirudisha ukirudisha watakupangia siku yakuja kuangalia na kuikagua, kama utakidhi vigezo utapewa kibali, kama haitakuwa na vigezo watakufahamisha hayo mapungifu.
Kuhusu maduka yajumla. pia kuna tofauti ya vigezo kati ya pharmacy na duka la dawa muhimu.
Mkuu singida na Mbeya ni jirani sana via Chunya road! So waweza nunulia pale Maranatha Mwanjelwa Branch, wana bei nzuri sana!
Ushauri mzuriMtaji utategemea na namna ya duka unalotaka kuanzisha lakini ili duka lionekane hasa ni duka si chini ya 20M.
Taratibu za kisheria ni lazima uwe na cheti cha mfamasia ambacho ndy utatumia kufungua hilo duka,pia uwe na muuzaji
ushauri mzuri
au wauzaji waliosoma kozi za maduka ya dawa muhimu na pia kozi hiyo ipo pia kwa wamiliki wa maduka pia inatakiwa
usomee,hizo kozi zilikuwa zinafanyika wilayani na mikoani kuanzia mwaka jana sijui sasa kwa ambao hawakusoma mwaka
jana utaratibu ukoje na pia sina uhakika kama imeshaisha tanzania nzima.
Walikuwa wanasisitiza hivyo ndiyo vitakuwa vigezo hasa sijui lakini tofauti na hapo inakuwaje,watakuja wengine kukujuza
zaidi.
Kuhusu usimamizi sijaelewa unamaanisha usimamizi wa namna gani?..
Ili mali yako isipotee wengine wanauza mtu wako unayemwamini kazi yake ni kupokea pesa.
Ni biashara inayolipa sana ukiwa sehemu nzuri na wahudumu wazuri bila kusahau kuwa kidigitali zaidi..
Ukifungua nitafute nikupe software ya ku manage biashara yako. Sorry Nimetoka nje ya mada
Ukifungua nitafute nikupe software ya ku manage biashara yako. Sorry Nimetoka nje ya mada
Kwanza kabisa napenda kutoa shukrani zangu kwa wana jamii forum kwa misaada ya kimawazo tunayopeana,pili naomba kufahamishwa vigezo muhimu vya kufata wakati wa kufungua duka la dawa muhimu maana nasikia kuna masharti mengi sana pamoja na kujuana.naomba msaada wenu wandugu.
unataka umuuzie sio?
Hivi 'duka la dawa baridi' maana yake ni nini hasa?
Kuna dawa baridi na za moto, au?
Kwanza nikupongeze kwa uamuzi wa kuamua kufanya biashara.
ushauri wangu ni kwamba jaribu kudadisi kwa wauzaji wa hizo pharmacy waliotangulia ambao wana moyo na nia ya kukusaidia japo kwa mawazo. kwa msaada zaidi wasiliana na mawakala wa Msd hapo mjini wapo wengi.
wish u all the best.
Nikushauri yafuatayo:Nokla;9631004 said:Thanks mkuu nitafuata ushauri wako