Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

Nenda katika office zao za pharmacy wilayani kwako then watakupa maelekezo na masharti yao.
 
Habari, nahitaji kujua taratibu za kufungua duka la dawa muhimu, kwa anaejua tafadhali.
Kando ya barabara ya Mandela Kituo cha kimataifa cha uwekezaji cha Benjamin Mkapa kuna ofisi za TFDA ambao ndio wahusika wakuu watakupa maelekezo yote na ukikamilisha masharti yanayotakiwa watakupa hati ya kuanzisha biashara yako. Hapa hakuna namna nyingine ni hivyo tu na ni jambo la taratibu na sheria za serikali kwa sasa. Hilo ni kwa Dar, sijajua mikoani uende wapi na matawi yao mikoani kama yapo.
 
Kando ya barabara ya Mandela Kituo cha kimataifa cha uwekezaji cha Benjamin Mkapa kuna ofisi za TFDA ambao ndio wahusika wakuu watakupa maelekezo yote na ukikamilisha masharti yanayotakiwa watakupa hati ya kuanzisha biashara yako. Hapa hakuna namna nyingine ni hivyo tu na ni jambo la taratibu na sheria za serikali kwa sasa. Hilo ni kwa Dar, sijajua mikoani uende wapi na matawi yao mikoani kama yapo.

Zamani ilikuwa ni TFDA sasa hivi jukumu la kusajili liko mikononi mwa BARAZA LA WAFAMASIA TANZANIA nenda huko
 
Ziko taratibu ambazo ziko ndan ya uwezo wako na zingine ziko nje ya uwezo wako mfano kama kutafuta vibali ziko nje ya uwezo wako upende usipende lazima uende kwa wahusika walio tajwa hapo juu na wachangiaji wenzangu.

Zile ambazo ziko ndan ya uwezo wako ni pamoja na kuweka mfanyakazi wako. ushauri wangu kwa hili Jitahidi upate mtu aliyesomea fan hiyo. hii itakusaidia mtu huyo kutoa dawa sawa sawa kama ilivyo elekezwa na kwa mantik hiyo wateja watakuwa wengi sana, apa kwetu hasa mtaan wauza dawa wengi hawajui hiyo biashara. mfano.

Mimi kuna kipindi niliishi nchi yenye barid sana na jua siyo kali sana, baada ya kufika TZ apa dar mwili wangu ulianza kuwasha washa mpaka kuvimba kama vile nimeungua moto. Kwa haraka nilienda duka la dawa nikamuelezea mdada flan, akasema hiyo ni fangasi akanipa dawa ya kupaka hili kuzuia fangasi, baada ya siku mbili nikawashwa sana nikaenda hosp ndipo dor akaniona kabla hata sija elezea yeye akaniambia wewe una aleji ya jua usikae juani akaniandikia dawa kesho yake mpk leo niko poa kabisa. sasa katika khali hiyo mimi siwez tena kwenda kununua dawa yoyote kwenye duka hilo!!!

Na katika usajasilia mali ukipoteza mteja mmoja ni mbaya sana ni sawa na kupoteza wateja kum kwa mwezi
 
Pia lazima uwe na mtu aliyesomea mafunzo ya utoaji dawa muhimu. jamaa wahakikishe sehemu yakko inaruhusiwa hiyo biashara,pia kuna form za kujaza serikali za mitaa na nyingine ya kuombea baraza la famasi. pia ujenge chumba kwwa viwango vyao.
 
Pia waweza kunitafuta kwa software tuliyotengeneza kwa mazingira halisi ya kitanzania. kuna famarcy 9 Tanzania zinaitumia ikiwamo hospitali ya jeshi Lugalo. kwa farmacy nawauzia sh laki 9. hii inakuwa ni software pekee bila computer au hardware yeyote. training ya siku 3 kwa watu 3. miezi 3 free technical support. free data entry na computer preparation bure. call 0655 844 202
 
Nataka kufungua pharmacy,je mtaji wake ni kiasi,kuhusu TFDA cheti kipo bado leseni. Msaada kwa mwenye uzoefu tafadhali.
 
Salamu zenu, naomba ambaye ana jua. Naomba anisaidie niwe na mtaji wa shilingi ngapi ili niweze kufungua duka la dawa za binadamu(duka la dawa muhimu) kuanzia lesseni na mtaji, niko wilaya ya Longido mkoa wa Arusha kijiji cha Kamwanga,
 
Kama kiasi ulicho shauriwa cha 10M ni kiKubwa sana nakushauri Fungua kwa kiasi ambacho unacho.
 
Siyo gharama kubwa mlango wa aluminium ni 400,000, shelves, kabati la mbele la kioo na matengenezo ya chumba ni kama 2m labda kiwe pagala. mtaji 2m inatosha.
 
siyo gharama kubwa mlango wa aluminium ni 400,000, shelves, kabati la mbele la kioo na matengenezo ya chumba ni kama 2m labda kiwe pagala. mtaji 2m inatosha.

Kwahiyo hapo unamaanisha 4m/- inatosha kabisa kuanzisha duka la dawa muhimu!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom