IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
...Really??? Halafu wajanja waweza ikwapua wakati hata wiki hujakaa nayo..2
galaxy s8 2.1 milion
...Really??? Halafu wajanja waweza ikwapua wakati hata wiki hujakaa nayo..2
galaxy s8 2.1 milion
Unaambiwa ukweli unamind. Kama huna uwezo wa S8 kuna tekno na itel kwa ajili ya watu km nyie
Asante mkuu,
Mana anaona mtu anafurahia kuuza kitu chake cha thamani wakati anajua kupata kama iyo tena itachukua muda.
Iyo simu nilipata hela za mkupuo ndo nikanunua wakati ndo kwanza zimetoka...
Sasa hivi sina kitu nimeona niuze tu maana haimake sense kwangu kua sina ela alafu nina simu ya milioni na pointi.
Hiyo bei ya S8 tafuta Iphone 7 used in good condition unapata
ustaarabu ni kitu kizuri sana mkuu msamehe mwenyewe nilishamuona mwandiko unasadiki umri, umri unasadiki preferences simu kwake ndiyo kila kitu
Jf kila mtu anatafuta kivuli chake
Unakua msenge msenge. Kama huna ela ya kumiliki vitu vizuri tuliza mshindo
Ni kweli pia aende kwenye Malls wana maduka yao Posta kuna Sumsang storeWe kariakoo hakunaga simu za bei ghali. Kule ni bei ndogo tekno n.k
Nenda samora
Naona wadau wa Tekno na Itel mnafarijiana. PoleniNilimuacha maana nilitambua ni vigumu kuufuta ujinga kwenye kichwa cha mtu ambaye hajajitambua kwamba ni mjinga.
Ukchknoa tcra wanapigaTengeneza simu yako na OS yako uwe free utakacho usidhani Nougat ipo free kama hizi jelybean, kitkat, lolipop ama marshmallow kwa mbali watu walioanza kucheza na android zikiwa version za Jellybean, kitkat na lolipop kidogo walifaidi sana
sasa hivi kuna error nyingi sana kuchokonoa simu watu wengi wameacha
Mkuu ukubea wa battery wakat mwingine usikupe shida. Ukaaji wa chaj unakuwa optimized na teknolojia iliyopo kwenye simu. S8 na s8 plus processor yake inatumia energy ndogo na performance yake ni kubwa. Ukiicompare na s7 edge yenye 3500 zinakaribiana ukaaj wake wa chaji.Ongea ww mkuu. Km ni mtu ni mpnz wa simu...s8 ndo simu.
Sema cjapenda hawajaupgrade battery iwe kubwa ila hiyo sio sababu ya kutoinunua
Naelewa hata s7 ina optimization ua battery... lakin hatukutegemea 3000mah kwa s8...tulitegemea zaidi.Mkuu ukubea wa battery wakat mwingine usikupe shida. Ukaaji wa chaj unakuwa optimized na teknolojia iliyopo kwenye simu. S8 na s8 plus processor yake inatumia energy ndogo na performance yake ni kubwa. Ukiicompare na s7 edge yenye 3500 zinakaribiana ukaaj wake wa chaji.