Jonogomero
Member
- Feb 8, 2012
- 99
- 27
Huku mjini unaishi maisha mazuri kweli,hukosi hela ya mboga(na nyingine zinabaki za kuendea Club Billicanas,Dar West,Travenine,Dar Liue, CITY garnen,Leaders Club, na kwingineko) lakini hujui hata mzazi wako uliye mbali nae kama amekula au hata hujui mara ya mwisho umewanunulia nini wazazi wako, au hata hukumbuki mara ya mwisho ulimpa lini pesa baba/mama yako !!
Hata aibu huna!? Unaona sifa? Hujui kama weme ni mjinga? Jirekebishe!!
Hata aibu huna!? Unaona sifa? Hujui kama weme ni mjinga? Jirekebishe!!