Duh! Wanaume kwa kupenda sifa!

Duh! Wanaume kwa kupenda sifa!

Hodi kwenye Jukwaa hili wakuu. Naomba na mimi nichangie kidogo. Hili suala la kujisifu kwa wanaume (ego) limeletwa na Mungu mwenyewe katika Mwanzo 3:16 ambayo inasema kwa sehemu kama ifuatavyo: "...tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala." Kwa hiyo mtawala ndani ya nyumba ni mwanaume tu hata kama ni maskini namna gani, utakuta mwanaume anajitutumua tu!
Kwa hiyo hapa asilaumiwe mwanaume kwa kitu alichopewa na Mungu!
Jambo jingine ni logic tu, kwamba nyumba haiwezi kuwa na viongozi wawili, lazima kuwepo na mwenye maamuzi ya mwisho! Bahati nzuri Mungu alishamteua mtu huyo kama nilivyosema hapo juu!

Hewala mkuu.
Lakini mbona pamoja na kupewa mamlaka hayo na Mungu, lakini pale itokeapo mwanamke akam- criticize mwanaume japo kidogo tu, yeye anaishiwa na nguvu kabisa. mimi nilitarajia atatumia maguvu hayo kujitutumua na kuonyesha kwamba hayuko hivyo kama navyofikiriwa.

Hebu chukulia mwanaume anaambiwa na mpenzi wake mara baada ya game kuwa hajaridhika kwa sababu jamaa ana kibamia na hajamfikisha kileleni,....

Unatarajia huyu mwanaume atajona vipi mbele ya wanawake na wanaume wenzie?

Kwa mwanamke is not a big deal kukosolewa, inaweza kumuuma lakini sio kwa kiwango kama cha mwanaume, kumbuka huyu mwanaume ndiye aliyepewa mamlaka na Mungu! halafu akosolewe na kiumbe alichoambiwa kwamba yeye ndiye kichwa cha hicho kiumbe!

Je, una maoni gani juu ya hilo mkuu?
 
Kama ungalikua hutaki kuijadili kibiblia usingenukuu maandiko huko na kutafsiri uongo...
Hebu sikiliza Njia Panda Clouds FM usijikie jinsi mlivyo na hila...

Hivi unajua watengeneza vipindi huchagua kile wanachoamini kwamba kitavutia katika masikio ya wasikilizaji?
Kwanza mie sisikilizi hiyo redio kabisa.
 
Hiyo ego, ulivyoisemea kidogo inagagasua, ukiamini wanaume wanapenda pride kwa kubase upande mmoja tu wa negatives, pia unakuwa hujatutendea haki
Mifano ya kina Daudi,Elia, elisha Farao ambaye leo kaacha hazina ya ma piramidi hiyo huigusi mbona?
Vipi mama makinda ni kielelezo cha namna gani juu ya mwanamke?
 
We wacha kukuleta maneno
mengi tumeisha wazowea wanawake, FYI men are more powerful na wana
better judgment, and can handle themselves better in tough situation kwa
hio wana haki ya kujisifia :biggrin1:

Umeshindwa kuificha hiyo ego hata kwa leo tu?
 
Vukani siku nilipomuambia mwanamke kuwa una harufu kali na maji mengi kwenye ile kitu ndio siku ya mwisho kumuona yule dada
sasa tuseme vipi nanyi mna ego au sisi tu?
Hewala mkuu.
Lakini mbona pamoja na kupewa mamlaka hayo na Mungu, lakini pale itokeapo mwanamke akam- criticize mwanaume japo kidogo tu, yeye anaishiwa na nguvu kabisa. mimi nilitarajia atatumia maguvu hayo kujitutumua na kuonyesha kwamba hayuko hivyo kama navyofikiriwa.

Hebu chukulia mwanaume anaambiwa na mpenzi wake mara baada ya game kuwa hajaridhika kwa sababu jamaa ana kibamia na hajamfikisha kileleni,....

Unatarajia huyu mwanaume atajona vipi mbele ya wanawake na wanaume wenzie?

Kwa mwanamke is not a big deal kukosolewa, inaweza kumuuma lakini sio kwa kiwango kama cha mwanaume, kumbuka huyu mwanaume ndiye aliyepewa mamlaka na Mungu! halafu akosolewe na kiumbe alichoambiwa kwamba yeye ndiye kichwa cha hicho kiumbe!

Je, una maoni gani juu ya hilo mkuu?
 
Watu wanapenda kucomplicate maisha, maisha yenyewe mafupi haya tunasoma phd duniani ajora mbinguni. Sasa kama kumsifia mpenzio ni sh ngapi? Watu walalamikie kuchunwa hela na kuchunwa pesa, akhaa!

ila nna kesi na wewe, tutaonana usiku kwenye besdei ya shem wako. Sali sala zote, huwezi kunishabikia na snowhite bila ushahidi!
afadhali umekuja dada yangu, ni shida sana kusikiliza mawazo ya watu wasiojielewa, wao kutwa kuona kama wanaonewa sababu ni kwamba hawajui nafasi yao kijinsia....
Tena huyu nahisi atakuwa ni Mpalestina bila shaka...
 
Last edited by a moderator:
Ego haimaanishi usipende kukosolewa. Ukimuambia vizuri na kwa upendo huku ukionyesha it is both your problem wala hatojisikia vibaya. Bila kukosoana tutafika? Saa zingine ni ugonjwa jee?
Vukani siku nilipomuambia mwanamke kuwa una harufu kali na maji mengi kwenye ile kitu ndio siku ya mwisho kumuona yule dada
sasa tuseme vipi nanyi mna ego au sisi tu?
 
life in village is better than life in town.

Ndo hii topik, haiko straight kihivyo.
 
umejuaje?

Mie namsifiaga hadi basi

namkosolea chumbani, wakati tunaoga, tena nikiwa namsugua mgongo.

Ego haimaanishi usipende kukosolewa. Ukimuambia vizuri na kwa upendo huku ukionyesha it is both your problem wala hatojisikia vibaya. Bila kukosoana tutafika? Saa zingine ni ugonjwa jee?
 
[Chris Brown]
Ain't nobody put it down like me though
Why are you playing? girl you know
With all this money, and all your cake
Girl you better stop, I got a big ego
I'm sipping on that brandy
That liquor comes in handy
And girl I know you fancy
But this party I'm financing
She told me, it ain't even like that
She been hating all night
Her friend uptight, alright
(so put it down)
I took her out the club
Told the girl she'd be right back
Back to the crib
And in the morning all this is worth it
Baby go get your hair did
And buy you a couple purses, you just perfect
 
niulize sasa
wewe una mahusiano? wanaume sio kama hawakubali kukosolewa ila wanawake munapopewa nafasi kidogo ndio munataka kufanya bila ya nyinyi ndio mwanamume hawezi kufanya vizuri,
Kama una uhusiano, angalia mara nyingi utakuta mwanamke analalamika kwa kila kitu hata haulizi kwanini kimefanyika na mahusiano mengi mwanamke ndie anaetaka kuondoka mwanzo tatizo nyinyi hamkubali kusikiliza na kukosolewa na munaokuwa na kipato au elimu kubwa ndio hivo hamuitaji kukosolewa
Ego haimaanishi usipende kukosolewa. Ukimuambia vizuri na kwa upendo huku ukionyesha it is both your problem wala hatojisikia vibaya. Bila kukosoana tutafika? Saa zingine ni ugonjwa jee?
 
Watu wanapenda kucomplicate maisha, maisha yenyewe mafupi haya tunasoma phd duniani ajora mbinguni. Sasa kama kumsifia mpenzio ni sh ngapi? Watu walalamikie kuchunwa hela na kuchunwa pesa, akhaa!

ila nna kesi na wewe, tutaonana usiku kwenye besdei ya shem wako. Sali sala zote, huwezi kunishabikia na snowhite bila ushahidi!

hahaha...ushahidi wa picha ninao
 
Last edited by a moderator:
Hii mada bana! Eti kisa ego!!
Mwanamke akiwa rais taifa simu zote linakuwa weak! Na maendeleo yanakua ovyo! Mataifa yooote kama yangekuwa na marais wanawake, basi kungekuwa na mabifu kila kona! Hebu wasikilizeni wanawake wa CLOUDS FM, umbea tuuuuuuu ndo sifa kubwa ya wanawake, wanawake hawatizami mbali, wanatizama short term effects! Inshort wanawake ni wa chini ya wanaume!

Na kuhusu uyo Adam, mama, mapenzi ya adam kwa mkewe ndo yamemfanya ivo! Sisi mtume wetu ametwambia kuwa, hapa duniani anaondoka akiwa ameacha shari 3, wanawake, mali na watoto!
Mwanamke anaweza akakugombanisha na mama yako!!!
 
Hey.....what is going on here, mbona naona na kusikia kama wanaume tunasutwa, kuna tatizo gani vukani
 
Last edited by a moderator:
hataki rungu wala mti ngozi wenu,kipochi manyoya chake kinamtosha!kinachomkera ni hizo ego zenu kumbe tembele!
ahahahhahahhahahhahahha leo ndyo leo mukye mukuye huku

sijajua nini tatizo hapa. Is it chuki au ni hiyo ego? Maana naona mpaka mnatusubiri kwa usongo, duh! Lakini all in all sifa moja ya mwanamke aliyeumizwa sana na wanaume atatafuta kila njia ili awaone wanaume kama normal things kwake, kuwashusha uthamani na uhalisia wao. Ukija kwenye huo utembele mbona wengi wenu huwa mnatega tu shimo ilimradi kutimiza. Tunakutana na wanawake wengi tu ukimuuliza kuhusu sex ni kama mme anafanyaga na godoro lenye maji maji! Au kwa sababu hatuwaoni mkisimamisha? Kila mwanaume angekuwa anakagua clitoris zenu kabla ya kuwaingilia kungekuwa hakuna ngono. Sex ni an art of psychology btn two people. Pia hamuwezi kubadili jiwe kuwa nyasi zikaliwa na mbuzi.! Even in science tunasoma values mbili kwa binadamu ambazo ni za mwanaume na mwanamke, value za mwanamke huwa ndogo kuliko mwanaume in every aspect leave alone hb ambayo huwapungua kila mwezi. Thats normal physiology tukiacha biblical theories ambako ni kama hamuhesabiwi. Maamuzi mengi wanaume wanayafanya with all the risks na yanafanikiwa. Ukiwapa mwanamke na mwanaume ambao wako kwenye same status kiwango kimoja cha pesa leo ndo utagundua utofauti wa mwanaume na mwanamke kwa maamuzi.
 
sijajua nini tatizo hapa. Is it chuki au ni hiyo ego? Maana naona mpaka mnatusubiri kwa usongo, duh! Lakini all in all sifa moja ya mwanamke aliyeumizwa sana na wanaume atatafuta kila njia ili awaone wanaume kama normal things kwake, kuwashusha uthamani na uhalisia wao. Ukija kwenye huo utembele mbona wengi wenu huwa mnatega tu shimo ilimradi kutimiza. Tunakutana na wanawake wengi tu ukimuuliza kuhusu sex ni kama mme anafanyaga na godoro lenye maji maji! Au kwa sababu hatuwaoni mkisimamisha? Kila mwanaume angekuwa anakagua clitoris zenu kabla ya kuwaingilia kungekuwa hakuna ngono. Sex ni an art of psychology btn two people. Pia hamuwezi kubadili jiwe kuwa nyasi zikaliwa na mbuzi.! Even in science tunasoma values mbili kwa binadamu ambazo ni za mwanaume na mwanamke, value za mwanamke huwa ndogo kuliko mwanaume in every aspect leave alone hb ambayo huwapungua kila mwezi. Thats normal physiology tukiacha biblical theories ambako ni kama hamuhesabiwi. Maamuzi mengi wanaume wanayafanya with all the risks na yanafanikiwa. Ukiwapa mwanamke na mwanaume ambao wako kwenye same status kiwango kimoja cha pesa leo ndo utagundua utofauti wa mwanaume na mwanamke kwa maamuzi.
umenionea lakini mimi! watu8 niokoe
 
Last edited by a moderator:
ah mi si unanijua tena ninavouworship uanamke wangu!
ahsante shem wake watu8 kwa kunifanya nijisikie mwanamke!

kila mtu akisimama katika nafasi yake, hii mambo ya kusema fulani ananionea au sijui anifikishi au wanawake wa siku hizi, haitakuwepo.
mapenzi hayakuanza leo wala jana, bali yalianza wakati wa Adam na Hawa. Pamoja na kosa alilofanya Hawa kumshawishi Adam kumeng'enya tunda la mti wa katikati, bado wanandoa wale wa awali hawakuachana wala kulaumiana, walijua kubebeana madhaifu na cha moto walikipata wote.
 
Last edited by a moderator:
Kuna ka ukweli hapa.Lakini kosa kubwa ulilofanya ni kuwajumlisha wanaume wote.Kuna mambo ambayo jamii ilikosea kuwafundisha mengine ilipatia,hivyo ni vyema ukiwa unazungumza ukwaweka wazi ni yapi unakubaliana nayo na yapi hukubaliani nayo ili ujenge hoja.
Kukosolewa,kwa mfano sio kweli kuwa kila mwanaume hapendi kukosolewa.Hapo umequote mstari wa biblia,je hukubaliani na hiyo biblia inaposema mwanaume ndo kichwa cha nyumba?Sijui lakini si vyema kukubaliana na kila jambo bila kufikiri!
 
Back
Top Bottom