Sasa umejua hilo, mpe atakacho. Msifie, mfanye ajisikie kiongozi na anaetumainiw. Hata Yesu tu akiwa duniani alikuwa anawauliza wanafunzi wake 'watu wanasema mimi ni nani?' na nyie mnasema mimi ni nani. What do you think that was? Hata Mungu anasema mimi ni Mungu mwenye wivu, usiwe na miungu mingine ila mimi.
Kazi yako ni kumwaga misifa tuuu. Baby that, honey this, sweetheart those. Hata kama unamkosoa unaanza na sifa, 'mpenzi, nashukuru sana unavyotuangalia mimi na watoto na kuhakikish tuko vizuri saa zote. Kitu kimoja tu kinanisumbua, najua kiko ndani ya uwezo wako. . . . . '