kitalolo JF-Expert Member Dec 4, 2006 1,827 707 Aug 17, 2012 #1 hata mwezi bado vishasepa na kuku wa watu!
mgeni10 JF-Expert Member Nov 29, 2010 1,109 369 Aug 17, 2012 #2 Mshahara wa Dhambi ni mauti, Haijachagua umri
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,631 68,555 Aug 17, 2012 #4 Wasipofundishwa adabu mapema ndio watakaokuja kusumbua baadae hao!
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Aug 17, 2012 #5 hao baadae ukikutana nao chochoro hao unawamia mwenyewe nna laki moja, simu ya tecno,na chupi ya kuchakaa chakaa.vinginevyo ukikawia utakuwa tayari unachuruzika.
hao baadae ukikutana nao chochoro hao unawamia mwenyewe nna laki moja, simu ya tecno,na chupi ya kuchakaa chakaa.vinginevyo ukikawia utakuwa tayari unachuruzika.
Miss-Thang JF-Expert Member Mar 4, 2009 364 244 Aug 17, 2012 #7 Unaweza kuta wametuma na wazazi wao, "leo msiporudu na kuku hapa hakiliki kitu".
Mkubwa Jalala Senior Member Mar 21, 2012 112 23 Aug 17, 2012 #8 Vipaji vyao vimeanza kujitokeza mapema.
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Aug 17, 2012 #9 Ndo hali halisi ya maisha ya mtanzania hasa vijana ambao ni tegemezi kwa Taifa
MATESLAA JF-Expert Member Aug 11, 2011 1,246 74 Aug 17, 2012 #11 aiseee baba yangu si unajuw amwezi huu lazima watafut ya idi nao lazima wapate nkisusio