Duh! Ndio maana wataalam wa Tz wanajichokea, ushauri wao unakiukwa kwa namna zote

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,650
48,413
Huu hapa ushauri wa mganga mkuu wa serikali halafu wakuu wa mikoa wote na viongozi wa ngazi za juu wote wanahubiri visivyo na kupishana naye, nafikiri corona ilikuja kipindi kibaya sana Tanzania wakati wanaelekea kwenye uchaguzi, maana kwamba wanasiasa lazima wateke shughuli zote na kuibuka na kauli za kiajabu ajabu hata kama zinawaweka mamilioni ya wananchi kwenye hatari.




2407096_Screenshot_20200523-203136_Chrome.jpg
 
[QUOTE="MK254,

Ungejua magu alivyo na nguvu usingesema neno "karibu ya uchaguzi"magu angeweza kuailisha uchaguzi kwa sababu ya korona kama angetaka ingekuwa Kenya ndiyo mwaka Wa uchaguzi lazima mafisadi Wa jubilii na Kenyatta wange kuwa wamesha tangaza kufuta uchaguzi na kugawana Pesa ya uchaguzi siku ngingi.

Kitu kinacho Fanya magu kupenda huu uchaguzi ni kutaka kukata mzizi Wa fitina kutoka kwa mabeberu kwa kupata ushindi mkubwa kupita maraisi wote toka mfumo Wa vyama vingi uanzishwe tz, hapa tz sijui kama upinzani wanaweza kupata hata wabunge wawili kwa tz bara ,isipokua Zanzibar tu ndiyo wapinzani wananguvu, Leo kama magufuli angeamua kusiwe na uchaguzi kwa miaka mitatu ijayo wapinzani wangefurahi sana na kumuunga mkono magu kwa upande Wa bara maana ndiyo njia pekee ya wao kubaki bungeni

Send by APOLO 1
 
Ungejua magu alivyo na nguvu usingesema neno "karibu ya uchaguzi"magu angeweza kuailisha uchaguzi kwa sababu ya korona kama angetaka ingekuwa Kenya ndiyo mwaka Wa uchaguzi lazima mafisadi Wa jubilii na Kenyatta wange kuwa wamesha tangaza kufuta uchaguzi na kugawana Pesa ya uchaguzi siku ngingi,
Kitu kinacho Fanya magu kupenda huu uchaguzi ni kutaka kukata mzizi Wa fitina kutoka kwa mabeberu kwa kupata ushindi mkubwa kupita maraisi wote toka mfumo Wa vyama vingi uanzishwe tz, hapa tz sijui kama upinzani wanaweza kupata hata wabunge wawili kwa tz bara ,isipokua Zanzibar tu ndiyo wapinzani wananguvu, Leo kama magufuli angeamua kusiwe na uchaguzi kwa miaka mitatu ijayo wapinzani wangefurahi sana na kumuunga mkono magu kwa upande Wa bara maana ndiyo njia pekee ya wao kubaki bungeni

Send by APOLO 1

Hehehe!! Kweli mumedhamiria kutumia nguvu nyingi, maana ndio mara ya kwanza kwangu mimi kuona ukiandika insha humu, nimezoea kuona ukiandika sentensi moja na kutoweka. Lakini jitahidi kuboresha uandishi wako, kiswahili chako kibovu sana.

Huu uchaguzi unaokaribia ndio sababu kuu za nyie kusuasua kwenye suala la corona, maana mlipozembea kuchukua hatua kabla corona haijatamalaki, upinzani waliwasema sana na kama mngeendelea kutangaza namba za waathirika zilizokua zinapanda, mngezama nyie MaCCM, maana ilikua kila mkitangaza idadi ya waathirika wapya, Mbowe alikua anaibuka na kuhutubia taifa.
Kwa kifupi hapo tayari wapinzani walikua wameanza kuteka mioyo ya Watanzania.

Sasa kwa hili la kuficha na kuaminisha Watanzania kwamba corona imeisha na wengi wao walivyo Wadanganyika wameishia kuamini, sasa inasababisha muwe na hasira sana mkisikia majirani wanawapima na kutaja mamia ya madereva wenu wanaogelea kwenye corona, na ndio maana mkaomba taarifa za waathirika wenu zifichwe, ila baada ya uchaguzi na CCM kuchukua uongozi tena hamtakua na lolote la kuogopa, mtataja moja kwa moja, ila kwa sasa mkiachia tu, wapinzani watatumia hiyo fursa ya kuibuka kidedea.
 
Hiki kinachoendelea Tanzania ni Sawa na kinachoendelea Brazil na Brazil wameanza kulipia gharama ya mchezo na Corona. Hatuombei Tanzania tupate majanga kama Brazil lakini tutajilaumu kwa uzembe wetu . Siungi mkono Total lockdown hatuiwezi . Tunapaswa tuhamasishe matumizi ya barakoa, kuwa umbali unaotakiwa, kuepuka makundi ya watu, kufunga makanisa na misikiti basi . Shughuli zingine za kiuchumi ziendelee Kwa kasi zaidi. Huku NIMR na wengine wakitafuta suluhisho la kitaalam
 
Hiki kinachoendelea Tanzania ni Sawa na kinachoendelea Brazil na Brazil wameanza kulipia gharama ya mchezo na Corona. Hatuombei Tanzania tupate majanga kama Brazil lakini tutajilaumu kwa uzembe wetu . Siungi mkono Total lockdown hatuiwezi . Tunapaswa tuhamasishe matumizi ya barakoa, kuwa umbali unaotakiwa, kuepuka makundi ya watu, kufunga makanisa na misikiti basi . Shughuli zingine za kiuchumi ziendelee Kwa kasi zaidi. Huku NIMR na wengine wakitafuta suluhisho la kitaalam
Nakumbuka zile sala za tutaanza kufa kama kuku. Bado tunadunda tu.
 
Hehehe!! Kweli mumedhamiria kutumia nguvu nyingi, maana ndio mara ya kwanza kwangu mimi kuona ukiandika insha humu, nimezoea kuona ukiandika sentensi moja na kutoweka. Lakini jitahidi kuboresha uandishi wako, kiswahili chako kibovu sana.

Huu uchaguzi unaokaribia ndio sababu kuu za nyie kusuasua kwenye suala la corona, maana mlipozembea kuchukua hatua kabla corona haijatamalaki, upinzani waliwasema sana na kama mngeendelea kutangaza namba za waathirika zilizokua zinapanda, mngezama nyie MaCCM, maana ilikua kila mkitangaza idadi ya waathirika wapya, Mbowe alikua anaibuka na kuhutubia taifa.
Kwa kifupi hapo tayari wapinzani walikua wameanza kuteka mioyo ya Watanzania.

Sasa kwa hili la kuficha na kuaminisha Watanzania kwamba corona imeisha na wengi wao walivyo Wadanganyika wameishia kuamini, sasa inasababisha muwe na hasira sana mkisikia majirani wanawapima na kutaja mamia ya madereva wenu wanaogelea kwenye corona, na ndio maana mkaomba taarifa za waathirika wenu zifichwe, ila baada ya uchaguzi na CCM kuchukua uongozi tena hamtakua na lolote la kuogopa, mtataja moja kwa moja, ila kwa sasa mkiachia tu, wapinzani watatumia hiyo fursa ya kuibuka kidedea.
Nikikuambia sababu za kiswahili changu kuwa kibovu lazima utaniita jiniasi mm nilisoma toka primary darasa la 3 hadi kumaliza secondary bila kuandika masomo nilipata kibali special sikwamba nilikuwa mlemavu la.... Nilikuwa naandika mitihani tu

Send by APOLO 1
 
Hehehe!! Kweli mumedhamiria kutumia nguvu nyingi, maana ndio mara ya kwanza kwangu mimi kuona ukiandika insha humu, nimezoea kuona ukiandika sentensi moja na kutoweka. Lakini jitahidi kuboresha uandishi wako, kiswahili chako kibovu sana.

Huu uchaguzi unaokaribia ndio sababu kuu za nyie kusuasua kwenye suala la corona, maana mlipozembea kuchukua hatua kabla corona haijatamalaki, upinzani waliwasema sana na kama mngeendelea kutangaza namba za waathirika zilizokua zinapanda, mngezama nyie MaCCM, maana ilikua kila mkitangaza idadi ya waathirika wapya, Mbowe alikua anaibuka na kuhutubia taifa.
Kwa kifupi hapo tayari wapinzani walikua wameanza kuteka mioyo ya Watanzania.

Sasa kwa hili la kuficha na kuaminisha Watanzania kwamba corona imeisha na wengi wao walivyo Wadanganyika wameishia kuamini, sasa inasababisha muwe na hasira sana mkisikia majirani wanawapima na kutaja mamia ya madereva wenu wanaogelea kwenye corona, na ndio maana mkaomba taarifa za waathirika wenu zifichwe, ila baada ya uchaguzi na CCM kuchukua uongozi tena hamtakua na lolote la kuogopa, mtataja moja kwa moja, ila kwa sasa mkiachia tu, wapinzani watatumia hiyo fursa ya kuibuka kidedea.
Sisi korona tunaishi nayo aina madhara kwetu

Send by APOLO 1
 
Hiki kinachoendelea Tanzania ni Sawa na kinachoendelea Brazil na Brazil wameanza kulipia gharama ya mchezo na Corona. Hatuombei Tanzania tupate majanga kama Brazil lakini tutajilaumu kwa uzembe wetu . Siungi mkono Total lockdown hatuiwezi . Tunapaswa tuhamasishe matumizi ya barakoa, kuwa umbali unaotakiwa, kuepuka makundi ya watu, kufunga makanisa na misikiti basi . Shughuli zingine za kiuchumi ziendelee Kwa kasi zaidi. Huku NIMR na wengine wakitafuta suluhisho la kitaalam
wewe endelea kusubiri kulipa,nakukumbusha utakufa,uiache tanzania na watanzani wakiendelea na maisha yao.

corona ingekuwa ya kulaza watu kama sisimizi,haina kikwazo tz.
 
Karibu bongo
Hehehe!! Kweli mumedhamiria kutumia nguvu nyingi, maana ndio mara ya kwanza kwangu mimi kuona ukiandika insha humu, nimezoea kuona ukiandika sentensi moja na kutoweka. Lakini jitahidi kuboresha uandishi wako, kiswahili chako kibovu sana.

Huu uchaguzi unaokaribia ndio sababu kuu za nyie kusuasua kwenye suala la corona, maana mlipozembea kuchukua hatua kabla corona haijatamalaki, upinzani waliwasema sana na kama mngeendelea kutangaza namba za waathirika zilizokua zinapanda, mngezama nyie MaCCM, maana ilikua kila mkitangaza idadi ya waathirika wapya, Mbowe alikua anaibuka na kuhutubia taifa.
Kwa kifupi hapo tayari wapinzani walikua wameanza kuteka mioyo ya Watanzania.

Sasa kwa hili la kuficha na kuaminisha Watanzania kwamba corona imeisha na wengi wao walivyo Wadanganyika wameishia kuamini, sasa inasababisha muwe na hasira sana mkisikia majirani wanawapima na kutaja mamia ya madereva wenu wanaogelea kwenye corona, na ndio maana mkaomba taarifa za waathirika wenu zifichwe, ila baada ya uchaguzi na CCM kuchukua uongozi tena hamtakua na lolote la kuogopa, mtataja moja kwa moja, ila kwa sasa mkiachia tu, wapinzani watatumia hiyo fursa ya kuibuka kidedea.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom