Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,564
- 2,778
Faida za kuwa Platinum Member ni zipi hadi ulipie hiyo laki 1? Utanufaika vipi yan na uPlatinum?Hahahaha nataka nilipie JF Mpwa, Platinum ni laki moja tu
Faida za kuwa Platinum Member ni zipi hadi ulipie hiyo laki 1? Utanufaika vipi yan na uPlatinum?Hahahaha nataka nilipie JF Mpwa, Platinum ni laki moja tu
Huwa napenda sana hii tarehe, ina kumbukumbu nyingi kwangu za muhimu. 17th March ya kila mwaka.
Nilijiunga hapa 17th March 2008. Long Live JF. Soon nitakua Platnum member
Alamsiki
Shukrani sana LegendaryHongera sana Mkuu 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Nachangia tu JF kama shukraniFaida za kuwa Platinum Member ni zipi hadi ulipie hiyo laki 1? Utanufaika vipi yan na uPlatinum?
Hongera sana mkuu...Huwa napenda sana hii tarehe, ina kumbukumbu nyingi kwangu za muhimu. 17th March ya kila mwaka.
Nilijiunga hapa 17th March 2008. Long Live JF. Soon nitakua Platnum member
Alamsiki
Utaratibu huo upo kwenye uzi upi?Hahahaha nataka nilipie JF Mpwa, Platinum ni laki moja tu
Shukrani sana Legendary
Hongera sana,utakuwa umekwepa mishale mingi .Maana JF unaweza kupost kitu, akakurupuka mtu from no where akakushushia tusi mpaka unajiuliza huyu mtu katumwa nini....Huwa napenda sana hii tarehe, ina kumbukumbu nyingi kwangu za muhimu. 17th March ya kila mwaka.
Nilijiunga hapa 17th March 2008. Long Live JF. Soon nitakua Platnum member
Alamsiki
Hahahaha kuna miaka nilikua sikubali kushindwa but as time goes on najikuta nakaa kimya tu!Homgera sama,utakuwa umekwepa mishale mingi .Maana JF unaweza kupost kitu, akakurupuka mtu from no where akakushushia tusi mpaka unajiuliza huyu mtu katumwa nini....
@maxence mello naomba umpe ufafanuzi MpwaUtaratibu huo upo kwenye uzi upi?