Duh, miaka 13 ndani ya JF si haba

Duh, miaka 13 ndani ya JF si haba

Huwa napenda sana hii tarehe, ina kumbukumbu nyingi kwangu za muhimu. 17th March ya kila mwaka.

Nilijiunga hapa 17th March 2008. Long Live JF. Soon nitakua Platnum member

Alamsiki
Kitu gani bora zaidi kwako ulikipata beneficiary kutoka jamiiforums kama mkongwe kweny forum?
 
Kitu gani bora zaidi kwako ulikipata beneficiary kutoka jamii forum kama mkongwe kweny forum?
Vingi sana lakini kikubwa kwangu aiseee nimejenga network kubwa sana kwa kweli. Ukiwa Na network nzuri in rahisi kufanya mambo mengine kwa urahisi
 
Mama yetu Prof Anna Tibaijuka alijiunga humu, aaagh akawa anaelezea Mradi wa Marekani ule wa Kigamboni kama mnakumbuka, dah! Kuna watoto humu hawanaa adabu sijapata kuona
Kumbe naweza kujikuta nagombana na mwanangu humu ndani
 
long run sana kamanda.wacha na mm niendelee na jf na wish nifike 10yr..
 
Back
Top Bottom