Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
- Thread starter
- #21
Safi kabisa, hongera in advance MpwaNa Mimi ikifika Jul 20, natimiza miaka 12, si mchezo. Toka nijiunge Jul 20, 2009 mpaka Leo si haba.
Hongera mkuu.
Safi kabisa, hongera in advance MpwaNa Mimi ikifika Jul 20, natimiza miaka 12, si mchezo. Toka nijiunge Jul 20, 2009 mpaka Leo si haba.
Hongera mkuu.
Tuko pamoja mkuuSafi kabisa, hongera in advance Mpwa
Hapana mkuu! Mimi ni mmoja tu kati ya wadau wapole sana humu jukwaani!! Huyo Malaria Sugu sidhani kama naweza kumkaribia hata kwa nusu ya huo ubishi wake.Mowa au wewe ndio Malaria Sugu? Kidding. Jamaa alisumbua mno Na alikua jeuri balaa, alikua anabishana hadi Na Moderators
Tupo mkuu...Wale members wakongwe wamebakia wachache humu siku hizi.

...mie popote pale wanajua siipend ccm...na Mungu alivyo mwema my friends walio ccm wamenyoroshwa balaa imechooookaaaaaaa! Basi nawaambiaga tu ccm oyee!Hahahaha nataka nilipie JF Mpwa, Platinum ni laki moja tu
Basi sawa mkuu, muda sana asiehh, naona wewe ulibaki na user name yako hiyo hiyo, mimi nilibadilisha ningekua na ile ya zamani ungenitambuaHongera sana mkuu, happy JF- joining day bro. Live long in jfHuwa napenda sana hii tarehe, ina kumbukumbu nyingi kwangu za muhimu. 17th March ya kila mwaka.
Nilijiunga hapa 17th March 2008. Long Live JF. Soon nitakua Platnum member
Alamsiki
Mkuu tumetoka mbali, mimi nilikata kauli na kuamua kujiunga 2011. Mwanzo nilikuwa msomaji tuKwa kweli hakuna, ni mapenzi yangu tu kwa miaka hio kutaka kujua hiki Na kile. Nakumbuka niliaza kuchati kwa Yahoo, walikua Na chat rooms nyingi
Kweli kabisa MpwaSafi sana Mkuu ,13 yrs kama ni mtoto yupo la STD VII au Form I/II.
Kweli kabisa MpwaSafi sana Mkuu ,13 yrs kama ni mtoto yupo la STD VII au Form I/II.
Hahahaha nikumbushe Mpwa hata kwa inbox, nimepoteza marafiki wengi![]()
![]()
![]()
![]()
Basi sawa mkuu, muda sana asiehh, naona wewe ulibaki na user name yako hiyo hiyo, mimi nilibadilisha ningekua na ile ya zamani ungenitambua
Siku hizi tumebadilisha salam, ni Mitano tena ndugu mjumbe😀😀...mie popote pale wanajua siipend ccm...na Mungu alivyo mwema my friends walio ccm wamenyoroshwa balaa imechooookaaaaaaa! Basi nawaambiaga tu ccm oyee!
Mitano tena!Tupo mkuu...
Hongera Sana, Yaani mi mwaka huo nipo kidato cha tatu sikuwa na simu na hata jamiiforums nilikuwa siijui.Huwa napenda sana hii tarehe, ina kumbukumbu nyingi kwangu za muhimu. 17th March ya kila mwaka.
Nilijiunga hapa 17th March 2008. Long Live JF. Soon nitakua Platnum member
Alamsiki