Duh, miaka 13 ndani ya JF si haba

Huwa napenda sana hii tarehe, ina kumbukumbu nyingi kwangu za muhimu. 17th March ya kila mwaka.
Nilijiunga hapa 17th March 2008. Long Live JF. Soon nitakua Platnum member
Alamsiki
Hongela bwa'mdogo
 
Hongera sana man. Nani aliku-introduce JF?
Kwa kweli hakuna, ni mapenzi yangu tu kwa miaka hio kutaka kujua hiki Na kile. Nakumbuka niliaza kuchati kwa Yahoo, walikua Na chat rooms nyingi
 
Huwa napenda sana hii tarehe, ina kumbukumbu nyingi kwangu za muhimu. 17th March ya kila mwaka.
Nilijiunga hapa 17th March 2008. Long Live JF. Soon nitakua Platnum member
Alamsiki
Elli we ni wa muda mrefu we ni mkongwe , ila hebu achana na ndoto za kuutaka Platnum member na uzee wote huo [emoji38][emoji38]
 
Mimi nilikuwa msomaji tu wa JF kwa miaka mitano! Nikajiunga mwaka 2015 kwa jina langu halisi, nikaona muda si mrefu nitajulikana!

Nikabadili user name! Sijakaa sawa,kuna kenge mmoja akanizingua! Nikajikuta nime sign out kwa miaka kadhaa! Kabla ya kurudi tena jukwaani kwa kishindo 2019 nikijulikana sasa kama Tate Mkuu !!

Anyway, nipende kuchukua nafasi hii kukupongeza pamoja na wakongwe wenzako wengine mliomo humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ