Duh kumbe Mkuu wa Mkoa wa Dar anaishi Tabora

screpa

JF-Expert Member
Sep 10, 2015
10,856
15,864
3d9.png
 
ishu ya huyu jamaa inaanza kuwa kama ile ya matokeo ya bint jesikaaaa yule mtoto wa malaika asiyejalibiwa yan imefikia hatua hata ukianzisha thread ya kuhusu huyu RC feki bhas mods wanaifuta ama wanaifunga kama matokeo ya jesikaa bint malaika yalivofutwa mtandaoni.
 
mpaka sasa inaelekea kwa 90% ni kweli jamaa vyeti sio vyake maana jinsi jamaa anavopenda show_off katika media leo et kakacha mahojiano na mawingu fm akiogopa kuulizwa ishu ya cheti na kashifa toka kwa suugu kuwa jamaa hana malinda!!
kipimo alichotumia kudhalilisha wenzake katika medias na yy ndio hichohicho kimetumika kumdhalilisha....
 
Nyuzi zaidi ya mbili za kumhusu Makonda zimefutwa leo, kuna moja hadi ushahidi wa video ulikuwepo ikaenda na maji
 
Jamaa ni jibu linalolelewa ambalo muda si mrefu litakuwa saratani sugu
 
mpaka sasa inaelekea kwa 90% ni kweli jamaa vyeti sio vyake maana jinsi jamaa anavopenda show_off katika media leo et kakacha mahojiano na mawingu fm akiogopa kuulizwa ishu ya cheti na kashifa toka kwa suugu kuwa jamaa hana malinda!!
kipimo alichotumia kudhalilisha wenzake katika medias na yy ndio hichohicho kimetumika kumdhalilisha....
atakuwa anagushi huko alipo
 
Back
Top Bottom