mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Nimeanza kuamini maneno yenu.
Kikwete anaongea na wazee wa CCM Dar-es-salaam badala ya ku-address issue nzito za kitaifa anaanza kuzungumzia sarafu ya Euro mara bei ya Sukari which means vurugu, maandamano, mabomu na hali ya nchi kukosa control kabisa is 'None of his business!'
Kikwete anaongea na wazee wa CCM Dar-es-salaam badala ya ku-address issue nzito za kitaifa anaanza kuzungumzia sarafu ya Euro mara bei ya Sukari which means vurugu, maandamano, mabomu na hali ya nchi kukosa control kabisa is 'None of his business!'