Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Jamani ee.. Hivi hili neno Alovera limekuwa kigezo cha makampuni ya bidhaa kupata fedha nyingi? Yaani mpaka naboreka sasa,
utakuta Dawa ya Meno,Mafuta ya kujipaka,Sabuni,Dawa za nywele,Vidonge vya kumeza n.k. Kila anayetaka kukuuzia anakwambia ni ALOEVERA!
Basi siku si nyingi zitakuja SIMU za ALOEVERA.
lol
utakuta Dawa ya Meno,Mafuta ya kujipaka,Sabuni,Dawa za nywele,Vidonge vya kumeza n.k. Kila anayetaka kukuuzia anakwambia ni ALOEVERA!
Basi siku si nyingi zitakuja SIMU za ALOEVERA.
lol