Maxmizer
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 4,806
- 4,215
Jay d sio mtu makini ? Vipi suguWanaolalamika wengi hawana hoja, huo ndio msingi wangu.
Wote wanaolalama ni walioishiwa, na wanataka tuamini kuwa wao ndio waliolengwa na Ruge.
Huwezi kuwasisikia kina AY, Mwana FA n.k wakilalama, sasa akili haikwambii ni tofauti tu ya kiakili inawagharimu, Dudu hana vision za AY na hilo ndio tatizo wala sio kudhulumiwa.
Kuna Wasanii wengi kama ungewauliza wachague kfanya kazi na Ruge waibiwe au waende kwingine, nina imani wangemchagua Ruge, na ni wale wenye vision tu na si sampuli ya kina Dudu baya.
Ruge kama Binanadamu mwingine hawezi kukosa mapungufu, lakini natamani kusikia kutoka kwa Watu makini na sio hawa Waropokaji wasio na vision.