Dudu baya atoa ushauri kwa BASATA

Hziyech22

JF-Expert Member
Jun 8, 2019
13,576
18,894
Msanii dudu baya aka konki konki konki master amefunguka kuhusu issue ya Menina na Mwijaku uliyotoa baada video chafu ya wasanii hao kuvuja hivi karibu amesema Kama ifuatavyo " hivi vitendo vimezidi kukuwa kwa Kasi kwa sababu BASATA imekuwa sehemu ya kulea Huu upuuzi hivi vitu vya kuvujisha video za ngono zinafanywa makusudi ili muhusika kupata soko lakini pia kuongeza umaarufu kwa kupata followers wengi ili kukomosha hili suala BASATA wanatakiwa kuwafungia mwaka mzima wahusika wanaofanya ngono wasifanye shughuri za sanaa na kuwakataza kutohojiwa na chombo chochote Cha habari kwa kipindi chote Cha huo mwaka na kutozwa kiasi Fulani Cha fedha alafu tuone watafanya huo upuuzi? Lakini Kama BASATA wataendelea na utaratibu Huu wanaofanya sasa basi tutarajie hivi vitendo vya kuvujisha video vitazidi kuendelea"
 
Ile video ukiangalia utagundua kabisa ilitengenezwa kwa ajili ya kujitafutia followers na umaarufu,so Dudu yuko sahihi,Basata mnalea huu ujinga na tunako elekea tutakuja kuwa na watu maarufu wenye background ya uchafu tu kama huo.
 
Hakina kijana anapenda ku trend kwenye mitandao Kama Mwijaku. Hii video Kama ni kweli alihusika nayo itakuwa ni kuongeza umaarufu ili apate kuuza sura.

Menina ni cheap slut. Huwezi kwenda faragha ukarekodi video bila wewe kukubali . Maybe anapenda ku trend Sasa trending imewatokea puani.
 
Ni kuwafungia a/c za kijamii mfano Instagram,telegram,you tube📺 na 🐦 kwa miaka miwili napia kama alivyosema kufungiwa na kufanya sanaa
 
Msanii dudu baya aka konki konki konki master amefunguka kuhusu issue ya menina na mwijaku uliyotoa baada video chafu ya wasanii hao kuvuja hiv karibu amesema Kama ifuatavyo " hiv vitendo vimezidi kukuwa kwa Kasi kwa sababau basata imekuwa sehemu ya kulea Huu upuuzi hiv vitu vya kuvujisha video za ngono zinafanywa maksudi ili muhusika kupata soko lakini pia kuongeza umaarufu kwa kupata followers wengi ili kukomosha hili suala BASATA wanatakiwa kuwafungia mwaka mzima wahusika wanaofanya ngono wasifanye shughuri za sanaa na kuwakataza kutohojiwa na chombo chochote Cha habari kwa kipindi chote Cha huo mwaka na kutozwa kiasi Fulani Cha fedha alafu tuone watafanya huo upuuzi? Lakini Kama BASATA wataendelea na utaratibu Huu wanaofanya sasa basi tutarajie hiv vitendo vya kuvujisha video vitazidi kuendelea"
fact
 
Back
Top Bottom