Haahaaaa hapa sasa nilichoka kabisaJamaa anajua mpaka kilichomo ndani ya area 51 kule nevada na wakati ni eneo lenye usiri mkubwa kiasi kwamba raia wa marekani wenyewe hawajui kilichomo.
Juzi kati nikasikia anachambua kuhusu ile ndege ya Malaysia iliyopotea,eti akasema yeye anajua ilipo.
Hizo topic zote ulizotaja ndio uhai wa online TV za bongo, Dudu baya anazisukuma zikufikie.Dudu baya au KONKY master siku hizi kaacha muziki na kuwa mchambuzi much know katika online Tv hapa bongo
Ni kweli, anataka reforms za matumizi ya tone tone na michango mingine ya Sasa na baadae.Pia anataka Reforms kabla ya Uchaguzi
😂😂😂😂😂Ukimsikiliza bila kukumbuka matendo yake ya zamani ya ulevi utagundua kuwa ana kitu
Mbona ubungo kibangu😅Kuna mtu anampa nondo kikubwa upangiliaji tu wa maelezo na kujenga usikivu, huyu jamaa ana kitu msimchukulie poa
Vita za Israel huku hata wakina Webabu wanazichambua ila wapo Ubungo Kibangu huko kwenye miinuko
Dudubaya anatumia haki zake za kikatiba na kibinadamu kujieleza.Dudu baya au KONKY master siku hizi kaacha muziki na kuwa mchambuzi much know katika online Tv hapa bongo
1.Anajua chanzo cha diamond kugombana na wasanii wenzake kina harmonize,alikiba
2.Anajua chanzo cha vita ya Ukraine na Russia
3.Anajua sababu za Aziz-ki kutemwa Wydad
4.Anajua sababu ya jux kuachana na Vanessa
5.Anajua kisa cha maghorofa ya kariakoo kudondoka
6.Anajua sababu za mechi ya Simba na Yanga kuahirishwa
7.Anajua chanzo cha mgogoro mashariki ya kati
8.Sababu za warace karia kubaki peke yake kwenye uchaguzi wa TFF ..anajua
9.Kufa kwa vyama vya ushirika Tanzania anajua
10.Historia ya mgogoro mashariki mwa Drc...anajua!
Jamaa ni much know kila topic yeye yumo,iwe dini,siasa,uchumi,michezo,utamaduni yumo tu🤣
Mengine mtaongezea....
Broo nimecheka sana hii Line yako ya kwanzaDudubaya anatumia haki zake za kikatiba na kibinadamu kujieleza.
You are absolutelly right mkuu. Kabisa yani💯Tatizo si Dudubaya anajifanya much know.
Tatizo Watanzania wengi hawasemi, wako timid.
Tatizo hatuna wataalamu au wataalamu hawasemi.
Nature abhorrs a vacuum. So when experts do not speak, Dudubaya will.
Dudubaya goes "Where Eagles Dare", even without expertise.
Mara nyingine njia nzuri kabisa ya kuwatoa wataalam pangoni ni kusemea taaluma yao bila utaalamu, halafu wao watoke waje kukukosoa.
Ukisema Dudubaya ni much know kaharibu maongezi ya vita vya Ukraine, tupe na wewe uchambuzi wako unaomkosoa Dudubaya na kuweka alichokosea sawa.
Ubungo Kibangu pameweka Memory kichwangu kwangu nishatembea sana huko mimi shusha panda sana vilima long time agoU
Mbona ubungo kibangu😅
Ninajua kwanini biashara zina kufa Tanzania na nini kifanyike pia kwanini mitaji siyo tatizoDudu baya au KONKY master siku hizi kaacha muziki na kuwa mchambuzi much know katika online Tv hapa bongo
1.Anajua chanzo cha diamond kugombana na wasanii wenzake kina harmonize,alikiba
2.Anajua chanzo cha vita ya Ukraine na Russia
3.Anajua sababu za Aziz-ki kutemwa Wydad
4.Anajua sababu ya jux kuachana na Vanessa
5.Anajua kisa cha maghorofa ya kariakoo kudondoka
6.Anajua sababu za mechi ya Simba na Yanga kuahirishwa
7.Anajua chanzo cha mgogoro mashariki ya kati
8.Sababu za warace karia kubaki peke yake kwenye uchaguzi wa TFF ..anajua
9.Kufa kwa vyama vya ushirika Tanzania anajua
10.Historia ya mgogoro mashariki mwa Drc...anajua!
Jamaa ni much know kila topic yeye yumo,iwe dini,siasa,uchumi,michezo,utamaduni yumo tu🤣
Mengine mtaongezea....
Unajua na hausemi?Ninajua kwanini biashara zina kufa Tanzania na nini kifanyike na kwanini mitaji siyo tatizo
Sina loud speaker, (I don't have an amplifier and big speakersUnajua na hausemi?
Mifumo gani hio unayoizungumzia ya sauti?Sina loud speaker, (I don't have an amplifier and big speakers
Mifumo inafanya kazi hadi ujipendekeze
Unworking government machineriesMifumo gani hio unayoizungumzia ya sauti?
Like Who?Unworking government machineries